It is obvious you are NOT matured intellectually,vinginevyo ungejibu hoja kwa hoja na siyo hayo manenO machafu au ndiyolugha uliyozoea?????????????????
mabailiko ni nini?mabadiliko yanini? kutoka wappi na kwenda wapi?na nani tanayemtegemea kuleta haya mabadilko? kaa chini utafakari kwa kina inawezekana hujui uachoksema.
mimi ninakubaliana nawewe kabisa ila ukitaka kujua aina ya watu tulionao katika nchi hii soma commnents mbalibali ndani ya mtandao huu,utaona jinsi watu wasivyo weza kupingana kwa hoja ila kwa matusi na hoja nyepi sana, inatisha sana kuwa na watu wengi wa aina hii ni hasara kubwa kwa Taifa.
mimi si mwanchama wa chama chochote lakini kwa hili ulilolisema ingekuwa ni maksi ningekupa mia ya mia,jambo la kusikitisha zaidi watanzania wengi tu wavivu mno wa kuchambua mambo tunabaki kushabikia tu mambo yanayohusu mustakabali wa Taifa kama mchezo wa simba na yanga,lakini najua watu wengi...
kiukweli kuna chadema tu ndani ya mwavuli wa ukawa,vyama vingine ndiyo wame danganyika na watajistukia hawana hata wabunge watano kwenye bunge lijalo.............too late by then.
mwaka huu imedhihirika ulivyo mdogo uwezo wa wa Tanzania wengi katika kupambanua mambo ya msingi inashangaza jinsi watu wanavyoshabikia uchaguzi mkuu na hatima ya nchi kama mchezo wa mpira wa yanga na simba?mmh inashangaza sana,
umenichekesha sana kusema mmefahamiana.... unaoga kusema umezini naye kama mara 12,jamani mara zote hizo? si kama umemfanya mkeo tu? mmh? unamsaliti mkeo mara zote hizo halfu umeokoka?
umeamua kula matapishi yako mwenyewe? ebu tutajie mambo makuu matano uliyoyafanya ulipokuwa waziri mkuu,walau ya maana na ya kukumbukwa? tama tamaa tu ya madaraka hamna linguine..............
mfumo maana yake nini? kwani mfuno si ulitengenezwa na watu hao hao? leo watakuja na mfumo gani mwingine kama watu ni walewale? UCHU WA MADARAKA TU HAMNAA LINGINE. period!
sijaona mantiki ya uliosema ebu elezea hao viumbe wanapitia njia gani kumwingia mtu?pili hiyo chuni inasaidia nini?nahisi hii taarifa ni matokeo ya hisia zako tu hamna ukli wa kisayas
Ni dhahiri Chadema/ukawa wameamua kula matapishi yao wenyewe... poleni sana! you proved your weakness!! no principles anymore, maana mna CCM -CHADEMA, who is who?
kumharibia mwenzako ni kitu cha maana cha kuzungumza? je wewe ungefanyiwa hivyo ungejisikiaje?au unafikiri wewe ndiyo mtu mzuri sana unayeweza kumfurahisha huyo msichana? upuuzi tu? jipime kwenye mizani yako mwenyewe maana kwenye mizani yangu umepwaya sanaaaa ...utoto au rubbish? watu hujisifia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.