Kikwetu mtu akijiua unachukua mkuki wa chuma unaupasha moto then unamwingiza kwenye nya!pyuuuu unautoa hiyo unKua umetoa nuksi hiyo ya mtu mwingine kujiua katika familia yetu au ukoo wetu.
Nadhani ni jambo zuri sana kumuhonga mwanamke yaaani ni fahari ya kiume hata jogoo akikuta punje za mahindi hali atamwita kwanza mtetea adonoe kwanza na wewe ofcoz ukihonga kuna ka kitu unapewa bwanaaaa
Ukishaelewa tafsiri ya neno ubakaji ndio utajua kuwa kumbe hata wewe umeshawahi kubakwa mara kadhaa na mkeo Au Mwanamke wako tu.Kwa kifupi ni hivi ubakaji ni tendo la ngono la kulazimishwa kufanya bila kuridhia yaani mkeo akikulazimisha kufanya na wewe hujisikii huyo kakubaka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.