Kwahiyo ndio unaishaur chadema hivyo.....yaani tuache ajenda ya chadema digital....chadema ni msingi....chadema grassroot na uchaguz ndani ya chama na kusajiri wanachama upya kielectronic tukimbizane
ila tukubar kuwa ccm inapumulia mashine.... now wanaattack chadema na mbowe utazani wao ni cham cha upinzan na chadema ni chama tawala
Sent using Jamii Forums mobile app
nakumbuka profesa ndio alikuwa inchaji wa account....had maalim akawa analalamika kuwa cuf imekosa pesa had za kununua karatasi[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi wale watu waliochafua kuta na mawe njiani kukuandika kuwa ww ni Rais.....uliwalipa bei gani mkuu maana wanaweza kaz[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.