Katiba mpya ni kisingizio tu yeye akishaadumbukia kwenye hizo ruzuku ndo basi tena zinazobaki ni porojo tu na ngonjera maukoto ndo swala la msingiTatizo letu watu ni wajinga jinga sana. Chama ambacho kimejitahidi angalau Tanzania kuna Chama cha upinzani kinacho tusaidia kupata katiba mpya wewe ndiye una jikita kupiga madongo. Vyama vingine vyote viko wapi?? jiulize hili kabla ya kuandika vitu vya ajabu