Jamani kumekuwa na mivutano mingi sana kuhusu michepuko kwamba ni dili ama sio dili.
Wakati watu wanasisitiza kubaki njia kuu wengine wanadai njia kuu kuna foleni na kwamba wao sio malori hata wabaki njia kuu. Sasa nafasi hii inakwenda kwa waliowahi kufumaniwa tuu, wote wanawake kwa wanaume...
Mwaka juzi dada yangu alikuja nyumbani kututembelea pamoja na rafiki yake. huyu rafiki yake baada ya kutambulishwa na maongezi bibi alimuulizia habari za familia watoto hawajambo? yule dada (niseme tu mama maana alikua wa makamo kidogo karibu sawa na dada yangu yapata miaka 40 hivi) akamjibu...
Binafsi nimeona wanaume wenzangu wengi ambao wameweka bia mbele na kusahau school fees ya watoto. Nimeona wengi pia walioyatoa maisha yao katika starehe na mwishowe kustaafu katika umaskini.
Lakini sijaona wanawake ambao wamesahau kabisa school fees ya watoto na kupeleka salary yote TBL...
This epidemic is really widespread in TZ and elsewhere. people are neglecting their formal and professional jobs to join this kind of new business they call it network marketing.
It involves selling products which they call nutritional supplements, aloevera products and some cosmetic products...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.