Mkuu wa Vikosi Vyote vya Majeshi ya Iran amepuuzilia mbali vitisho vya Marekani kuhusu kuishambulia kijeshi Iran na kusema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kwa vita vya kuamua mshindi na mshindwa baina yake na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Akizungumza leo Jumatano, Meja...
Wakuu,habari za leo mimi nina rafik yangu ambaye alipokuwa kidato cha sita aliweka dhamira ya kuoa pindi atakapopata chuo.Bahati nzuri alipata chuo nje ya nchi(Mozambique) ambapo anatakiwa kusoma 6yrs (M.D).Yeye ni bkra (23yrs).Sasa je inawezekana?
Wakuu naombeni msaada kwa anaefahamu ipi ni faculty nzuri kati ya bacherol of medicine na Medical lab.sciences interm of income na competition ya ajira.
Habari zenu wakuu,kama heading inavyojieleza hapo juu,nina rafiki yangu yupo Denmark kimasomo lakini amehitimu mwaka huu.Rafiki yangu huyo anamiaka 26,hajawah kusex hata siku moja ndio maana anatafuta mwenza mwenye sifa kama yake.Wenye vigenzo mniPM.
Nipo serious, wakuu natafuta mchumba mnyamwezi awe anatoka Tabora au sehemu yoyote ile. Ila awe radhi kuishi nje ya nchi, suala la elimu sibagui hata kama awe ameishia darasa la 7.
Tahadhari najua kuna watu mtaiponda hii thread lakin nipo more than serious ewe binti wa kinyamwezi ambaye upo...
Wakuu habari zenu mimi ni kjana ambaye bado nipo masomoni chuo lakini nimedhamiria kuoa. Age iwe 18+ wala kabila sio tatizo kwangu ila huyo mke anatakiwa awe muislam.Mengine tutazungumza private na ambaye atakuwa tayari.Kwa yule aliye tayari ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.