Ni chuo kizuri sana mimi kwa sasa nafanya MA nadhani sijajuta bali najuta kuchelewa kukijua aisee ni chuo safi sana ila angalizo ukiwa mvivu kitakushinda kinaitaji individual efforts tu.
kila kitu kina standard brother,ukiweka holela unategemea nn,acha kanuni zifanye kazi,km mtu anataka kufundisha chuo atie bidii afaulu kwa standard iliyowekwa sio kupiga kelele huku,km kuna ttz lingine sawa lkn hilo la standard hauko sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hii mada ilitakiwa tujifunze sio maneno ya shobo,huu ni ulimwengu wa research hakuna anaejua zaidi mambo kila siku yanabadilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali itimize wajibu wake ilipe cha watu isisingizie wanasiasa,hakuna kupandisha mishahara vp madeni mbona hayaishi au nchi impigwa chuma ulete?
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna nn cha kuelewa,uchaguzi ni miaka mitano no matter how cost it will be asilete upimbi,dont bring your party psychophone,hii demokrasia imeletwa kwa gharama zaidi ya hivyo vishilingi,watu wamelipa kwa maisha yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.