Hii changamoto tupo wengi, ushauri muhimu ni kuzingatia na kutilia maanani masuala yanayohusu mustakabali WA maisha yako.
Jiweke mbali kabisa na mbaya wako/mnafiki wako hata aoneshe kukujali vipi.
Usinisumbue kuuliza kuuliza chochote kuhusu mabaya anayokutendea au kujaribu kitafuta suluhu na...
Chukua asali ya nyuki wadogo changanya na mdalasini ya unga Kisha paka kwenye makovu, subiri kwa nusu saa na uoshe kwa maji ya vuguvugu.
Fanya hivyo mara kwa mara utaona matokeo
Mpaka sasa hajatokea kiongozi yeyote mwenye Nia ya kumsaidia mwananchi.
Tunahitaji mfumo Bora wa elimu na viongozi wetu hawako tayari kibadilisha mfumo maana wananchi wataendelea na kiwazidi akili.
Tatizo mradi wa uma na hauna mshindani
Ni kosa kubwa kuita mwendo Kasi wakati mchakato mzima wa kupata gari na safari yenyewe unaweza kuzidi saa nzima na karaha za kutosha.
Kwakua viongozi wetu ambao ni zao la wanasiasa Hawa Nia ya dhati kusaidia wananchi basi tuvumilie kudumisha amani.
Hata humu kwenye forum yetu ungekuwepo Uzi maalum wa upotevu wa vitu ingesaidia.
Vitambulisho ni muhimu kuliko hata fedha zinazokua ndani ya waleti na huleta usumbufu mkubwa katika ufuatiliaji.
Ukienda ofisi mbalimbali na katika vyombo vya usafiri wa uma utakuta vitambulisho kwenye madirisha...
Ashakumu si matusi; wasomi wengi na pia wengi waliopewa dhamana ya kutuongoza wanaongoza kwa kiwango kikubwa cha ujinga.
Unaposema rais aliyepo anafanya kazi nzuri kuliko mwingine yeyote na hivyo kusiwe na haja ya kuchagua mwingine inabidi ujiulize;
-Waliotangulia wasingekubali kuachia nafafi...
Nyumba ya kupanga inahitajika maeneo ya Kinyerezi, Maramba Mawili hadi Mbezi Msigani.
SIFA:
vyumba viwili vya kulala kimoja master.
Isiwe mbali na Barbara ya Mbezi-Kinyerezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa mdau aliyetoa taarifa kwani ni ngumu kutambua nini HASA kimetokea labda uamue kutembea kwa miguu ufatilie kilichotokea.
Kwa msaada, njia ya Samujoma/Ubungo-Mwenge hazina foleni kabisa, kwa mdau anayetokea mjini ingilia popote, kisha shika shekilango road, ingia mawasiliano kisha...
Lengo ni kupata msaada wa kupata Mali/ kitu kilichopotea au kumpata muhusika wa kile kilichookotwa.
Uzi huu utakuwa ni msaada kwa wengi kwani wapo waliookota vitu ambavyo hawana matumizi navyo na hawana namna ya kumpata muhusika/mpotezaji, na wapo wale waliopoteza vitu na hawajui watavipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.