Naomba nieleweshwe hapo kdogo maana toka ninakua ninaona na kusikia mbio za mwenge tz na zinatumia gharama nyingi sana za kodi ya wananchi huku faida ikiwa ni kuzindua miradi na viongozi nao wanazindua miradi hiyo hiyo ! Dhumuni halisi la mwenge ni nini hasa kwa dunia ya leo!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.