Baada ya kuvuma sana kwa taarifa za kwamba CCM infikiria kumsimamisha Makongoro Nyerere kuwa mrithi wa raisi kikwete, Mh Makongoro Nyerere ameamua kuweka wazi bila kkupinga kwamba ana nia au hana nia ya kuwania uraisi.
Vyombo vingi vya habari na mitandao ilitoa taarifa za bwana makongoro kuombwa...
Miaka yote nimekuwa natamani sana kumuona Mh. Lowasa akisimama bungeni kusoma taarifa ya kamati yake ya ulinzi na usalama na mambo ya nje kwani viongozi wengi haswa wenyeviti hutumia nafasi hii kutoa mapendekezo ambayo huwa ni mwiba kwa serikali na kuonyesha utendaji wa serikali katika idara...
Baraka angekuwa na nia angeweza kuwa na nafasi nzuri maana hata baba yake bado anapendwa, lakini Baraka hajajitokeza na hata Mzee Shelukindo anamkubali sana Kaniki na amekuwa akimshauri mara nyingi juu ya siasa za Bumbuli.
hakuna mwanaBumbuli asiyemjua Kaniki, huyu ndio tishio la January na Baba yake, huyu ndie alikuwa amemshinda January mwaka 2010 lakini Baba yake akabadilisha utaratibu wa kupiga kura ili waingize kadi feki na ndipo wakachakachua...KANIKI hana mpinzani BUMBULI na January anajua sana ndio maana...
duh kama mtu hata humendi lakini kuna vitu si vya kukataa:
Education[edit]
BA in Economics & International Studies, American University in Washington, DC, USA.
MA in Economics (Applied Economics), American University in Washington, DC, USA.
Masters in Public Administration, American University...
wewe unaongea kwa hisia potofu sana, Mzee wasira hana shida ya afya na ni msomi anayetambulika vizuri sana katika uchumi, acha ushabiki wa kutumia makalio tumia akili..
Nimekuwa nafuatilia kwa kiasi siasa za nchi yetu kwa muda haswa kuelekea uchaguzi mkuu mwakani na kutaka kujua nani anafaa kumrithi JK.
Ukitazama watu wengi waliojitokeza kwenye CCM wawe wazee au vijana bado sifa zao za uadilifu ndani ya chama na nje ya chama ni za kutiliwa mashaka sana...
duh kwanza siamini kama hii barua imetoka kwa watoto wa Mzee shelukindo, its too simple, nahisi inatoka kwa Makamba mwenyewe, tunamjua jinsi anavyojijenga kupitia vyombo vya habari baadala ya kutumikia watu waliomchagua.
ningetegemea Makamba ndio angefanya effort kukutana na mzee shelukindo...
Huwezi ukawa mtu mwenye akili zako ukaandika thread kama hii, yani ukisikia tu kitu uje kuandika JF, mbona wewe tumesikia wanaku.....hatujaandika hapa.
Baadhi ya wagosi (watu watokao na wanaoishi mkoa wa tanga) wamefurahishwa sana na kitendo cha mzee makamba kutoka ndani ya ccm.
Wengi wamefurahia suala hilo haswa kwa sababu ya ubabe,dharau,kebehi na matusi waliyokuwa wakipata kutoka kwa mzee makamba wakati wote wa uongozi wake.
Mzee makamba...
huyo binti ni mtoto wa mzee makamba, na yupo pale kwa kazi maalum, shughuli zote znazohusu serikali yeye ndiye anayetumiwa na vodacom kufanya lobying, ndio maana vodacom hawakosi suport siku zote serikalini...lakini pia huyo mwanamke ambaye mume wake ni mzungu, ana mahusiano pia na huyo bosi...
Zito....hata kama unamuuguza mama yako hiyo sio lugha ya kiungwana uliyotumika, wakati kama huu ambapo wenzako wapo kwenye harakati za kuhamasishwa watanzania juu ya mambo mnayosimamia ilikuwa ni wajibu wako kuonyesha kuwaunga mkono kwa hali yoyote, kuuliza kama Tundu lisu yupo inamaana kama na...
...ni kosa la kutype jamani achaeni kukuza mambo, mnaishusha hadhi hii forum, kila mtu aje tu hapa apost kitu na atushughulishe bila mantiki, ndio hatuipendi ccm lakini tuwe makin...ilitakiwa isomeke..MTU na sio MBU....
...JK aliposema hamajui mmiliki wa Dowans wakati anamjua je sikudanganya taifa? je uongo hauwezi kuchochea uasi?
...Pinda alipozungumzia suala la Arusha wakati kesi ipo mahakamani tena akapindisha ukweli, je huko nako si kosa?
kuwa makini bila kutumia ushabiki....
huyu January mimi namuonea huruma sana, anatafuta umaarufu bila kufanya tafakari, yeye toka achukue uenyekiti hoja ni mitambo ya dowans tuu, tena anaongelea suala lile kwa kujiamini sana as if he is well informed, anaonekana anajua nini wenye dowans wanataka na nini wako tayari kufanya kwakuwa...
...kama sheria iko wazi nakushauri bwana Alberto uendelee kuitendea haki nafsi yako... naamini umefikiria vya kutosha mpaka ulipoamua kuja na huu uamuzi..lakini pia kumbuka una wajibu wa kusaidia chama chako kilichokupa tiketi ya kuwa diwani....
zipo taarifa pia kwamba Riz1 ni mhusika mkuu katika biashara za dawa za kulevya akishirikiana na mtoto wa mzee samwel sita na offic yao ipo masaki.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.