Ikumbukwe huyu Boss wa Tanesco kuna wakati aliomba kuachia ngazi lakini JK akamwomba asifanye hivyo ... hivi yeye ni nani kiasi anaogopwa?..anasiri gani moyoni mwake?..hakuna shaka hili ndilo linampa kiburi ya kufanya analotaka!
KOMBE LA MABARA 2009-CONFEDERATION CUP 2009
UJANJAUJANJA WA MISRI SAFARI HII WAKWAMA
Katika mchezo kati ya Misri na Brazil ambapo matokeo yalikuwa Brazil 4 vs Misri 3 ujanjaujanja wa wachezaji wa Misri ulikwama.Kwa miaka mingi wa-Misri wamekuwa wanakera wapenzi kwa visa vyao vya kujiangusha...
Nimesoma kwenye gazeti moja maarufu hapa bongo wiki hii ati fedha hizo alizotafuna serikali yetu itazilipa.Jamani hii ni sawa?....na baada ya hapo itakuwaje?...sheria itachukua mkondo wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.