Habarini wanajamvi! Binafsi nimeyachukulia maamuzi ya kamati kuu CDM kama ni kitu cha kawaida tu ktk chama ktk muktadhi wa kujenga nidhamu.Ninashangaa sana kuona jambo hili kama limekuzwa sana.Mkumbuke kuwa, kwa muda mrefu ZZK mwenyewe alikua ameshajitenga na CDM! Ofisini alikua hafiki..mikutano...
WanaJF, katika miaka ya hivi karibuni, ktk jamii na familia zetu, kumekua na mashamsham hasa wenzetu wanapofunga ndoa. Miongoni mwa shamrashamra hizo imekua ni kuwafanyia dada zetu 'sherehe ya jikoni' (kitchen party).Lengo kuu la sherehe hiyo ni kuwaandaa dada zetu ili waweze kutimiza vyema...
Wana-JF kwa kweli inasikitisha sana kwa viongozi/wanachama wa chama chetu tawala kutojitambua.Ukiwafuatilia ktk mikutano yao na pia hata kwenye vikao vyao, wao badala ya kuongelea na kupanga jinsi gani ya kuboresha maisha yetu. Wao wamebaki kuijadili CDM na viongozi/wanachama wake.Hii kamwe...
Wana-JF kwa kweli inasikitisha sana kwa viongozi/wanachama wa chama chetu tawala kutojitambua.Ukiwafuatilia ktk mikutano yao na pia hata kwenye vikao vyao, wao badala ya kuongelea na kupanga jinsi gani ya kuboresha maisha yetu. Wao wamebaki kuijadili CDM na viongozi/wanachama wake.Hii kamwe...
Nimeamua kurudi tena!Tunashukuru wale waliotusaidia kuweka kumbukumbu sawa.Tunawasamehe pia wale wote waliamua kuipotosha thread na wale wote waliamua kutukana.Hakika nchi haitoendelea kamwe kwa vijana kuamua kuwa wavivu wa kufikiri na kuamua kubobea ktk matusi.Ktk thread yangu, ukifikiria kwa...
Habarini wakuu! Binafsi mimi si mtabiri na sijawahi kufanya utabiri ktk jambo lolote.Lakini napenda kufanya utabiri ktk hili. Ktk uelekeo wa siasa za CCM Mh. EL ameshafanya jitihada kubwa kujijengea kukubalika na wanaCCM wenzake.Nae pia ameshatumia rasilimali kubwa ktk kujijenga kisiasa.Ila kwa...
Habarini wakuu, leo kulikua na mechi ya Yanga na Ruvu S.Matokeo ni kuwa, Yanga 1 Ruvu 0.Goli la Yanga ktk mechi hiyo limefungwa na Hamis Kiiza.Kilichonishangaza ni kuwa, ktk kipindi cha michezo cha Radio One, wao wametangaza kuwa Hamis Kiiza amefunga goli kwa TIKTAKA akiunganisha krosi ya Mrisho...
Sasa, kama CDM ikifa hiyo itaboresha vipi maisha yetu? Tunachotaka nyie maCiCiMu boresheni maisha yetu sasa! Tupo choka mbaya! Tumepigika nje-ndani.Tupo arosto kwelikweli! Maisha bora tuliyoahidiwa yapo wapi? Boresheni maisha yetu kwanza, siasa baadae!
Sasa, kama CDM ikifa hiyo itaboresha vipi maisha yetu? Tunachotaka nyie maCiCiMu boresheni maisha yetu sasa! Tupo choka mbaya! Tumepigika nje-ndani.Tupo arosto kwelikweli! Maisha bora tuliyoahidiwa yapo wapi? Boresheni maisha yetu kwanza, siasa baadae!
Sasa, kama CDM ikifa hiyo itaboresha vipi maisha yetu? Tunachotaka nyie maCiCiMu boresheni maisha yetu sasa! Tupo choka mbaya! Tumepigika nje-ndani.Tupo arosto kwelikweli! Maisha bora tuliyoahidiwa yapo wapi? Boresheni maisha yetu kwanza, siasa baadae!
Sisi tunachotaka ni ufumbuzi wa matatizo yetu!Anawaza nini sasa wakati matatizo yetu na ufumbuzi wake yapo ktk ilani yao ya uchaguzi.Au haitekelezeki nini?Hatudanganyiki..
Sisi tunachotaka ni ufumbuzi wa matatizo yetu!Anawaza nini sasa wakati matatizo yetu na ufumbuzi wake yapo ktk ilani yao ya uchaguzi.Au haitekelezeki nini?Hatudanganyiki..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.