Mnao mtetea wasira na kumlaumu membe nitawashangaa mpaka mwisho wa dunia. Nguo kavaa mwenyewe, katoka na kufika kwenye tamasha, kaambiwa kupiga picha kanyanyuka na kujiandaa membe kaingiaje tuache chuki za kijinga, na huyo mpambe wa wasira anayetoa tamko kama analipwa mshahara afukuzwe kazi...
So what maisha ni yake. Kama Habash alimuacha mke kisa hela za Jide anaidhihirishia dunia kuws ye ni ----. Dume zima ukubali kurubuniwa aibu yenu madume kama mabint
Nyie wote cha mtoto. Tuulizeni sisi tuliomaliza 1977. Lakini leo mmenishangaza mwl Mbuya tulimuacha. Tulikuwa na mwi Kassam muhindi. Mwl Kagisa. Josnphne Mahiga. Waliomaliza mwaka huo na ambao wapo wajitaje. Kaka mkuu wakati huo aliitwa sostenes wa Musoma. Sister Edgara cooking na needle work...
Kuna mijitu mingind inajibu kama imetumwa. Kwa hali ya kawaida mtanzania ana uwezo gani kiuchumi kuendelea kubeba sekta ya umeme inayowanufaisha mafisadi wachache. Leo hii mkulima wa mpunga serikali ya kikwete imeamua kumtosa na kuagiza mchele nje bei ya mchele ni ya kutupa na hairudishi hata...
Tatizo la nchi hii mtendaji na mzalendo watambeza, kumtukana hata kumuua kama Mgimwa shame on you mafisadi. Mwakyembe tunamkubali na mndmshindwa. Ana mungu yeye
mh mh mh John ulanga naye wa kusimamia shirika? Foundation ameifanyia ufisadi mpaka basi. Kaifanya kama yake. Ukiona kuna kampuni imepewa tenda ya consultant ujue ni yake. Wakati mwingine mnamtaja mtu makusudi ili aumbuliwe. Mwakyembe hongera kwa kumuondoa huyo fisadi
:rockon::rockon:umejiunga lini jamii forum napata shaka nahisi wewe ni huyo ziliona. uwe mkweli jamii forum ni mtambo wa kujirekebisha ningekuwa wewe ningebadili identity ili nipate mbinu za kujirekebisha. shame on you na wengine wote wadanganyifu.:high5:
mi napita tu maana majibu yote yako kwenye uchaguzi unaoendelea. Viongozi watoa rushwa hawana nafasi katika uchaguzi huu yaliyofanyika ni neema kwa wajumbe asiyejenga hata kigenge atakuwa ****.ehh nagu na sumaye mwe!!!
mjadala unavyokwenda inadhihirisha kabisa kiti hakina uelewa wakutosha kuhusu kanuni. ndugai amedhihirisha kuwa sio kiongozi maana amekosa sifa ya uvumilivu, kukosolewa na kusikiliza mawazo ya wengine, anajiaminisha kuwa yeye anajua kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.