Mungu akubariki utapata soon unakila zana ya kupatia kazi ya Acc usiloose confident cos hujawa na kazi conf ndio hazina yako kuu go to the interview with your head held high
Tatizo nililoliona kwa zoom ambalo wanawezakulifanyia kazi ni kwamba unawezapost chochote bila wao kupitia kwa mfano mtu anawezaweka advert la kazi halijakidhi vigezo vile vya kawaida halina qualification needed,adress au website ya advertiser au simu, sasa zoom either wawe wanapitia kwanza na...
Usimkubalie huyo kaka anataka ku take advantage ya misaada yake nimekupenda bure na hio misimamo yako endelea hivyohivyo mpaka utakapofika umri wa kuolewa maana sasa hivi watu wamehalalisha uzinzi na pia ujifunze kuachakumtegemea mwanadamu " na alaaniwe amtegemeaye mwanadamu"
msigwa kaonyesha udhaifu kubwa sana kai expose UKAWA ameshindwa kujenga hoja kabisa badala yake kaleta shutuma dhaifu na za shule ya msingi kaniangusha sana
msigwa kaonyesha udhaifu kubwa sana kai expose UKAWA ameshindwa kujenga hoja kabisa badala yake kaleta shutuma dhaifu na za shule ya msingi kaniangusha sana
Usifanye utani na maagano ya damu ni very serious issue ila sisi tunaichukulua simple ukitaka kujua uzito wa hio kitu Mwakasege alitumia week nzima hapa Dar kufundisha jinsi ya kutengua ni kwamba huyo mwanamke amejenga madhabau ya shetani na hilo dhabahu linaendelea mpaka kizazi champ cha nne...
Profile yako iko pale una edit anytime, except barua ya kazi Kwa sasa nafikiri ikienda imeenda ila other issues una edit at anytime wao ukifika muda wa ku shortlist wataangalia profile yako at that time of shortlisting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.