Mr.Max memo, et al ... Please remember the Bible verses that says "fear thou not, for I am with thee", believe me,vyou shall one day overcome such cumbersome.
Kwanini TANESCO mmeweka umeme barabarani tu afu maeneo yenye makazi mengi na watumiaji wengi hayana umeme kiasi kwamba umeme inakuwa kama huduma ya starehe badala ya huduma ya msingi na muhimu, mfano mvuti, dondwe, Chanika , fikeni maeneo ya yenye wananchi na muwawekeeni umeme ,
R.I.P kibonde, nakumbuka kukuona ukiwa MC wakati mwili wa boss Ruge unateremshwa kaburini, tena ulikuwa unatembea na kuchungulia ndani mwa kaburi wakati mtumishi wa Bwana anamwagia maji ya baraka na kuombea shughuli hiyo. kumbe ulichokuwa hukifahamu ni kwammba nawe ulikuwa njiani... Aisee kifo...
Wewe kifo, hakika unge elewa maana ya huu msemo " kill him not, let him go" , ungetuachia Ruge wetu aendelee kuishi, lakini maadama wewe kifo / death umechagua kutumia msemo huu " kill him, let him go". Sisi kama wanadamu hatuna cha kuongeza zaidi ya kusema ni kazi yake Mola.
Badala ya kulinganishwa Kwa utajiri w kiroho (utajiri wa kuhubiri kweli ya neno la Mungu kwa wanakondoo) ila mambo siku hizi yamegeuka na kuwa watumishi wa Mungu wanajipambanua Kwa utajiri wa Wa Mali za kidunia.
Dalili za maandiko matakatifu kutimia,tujihadhari na ulaghai Wa kidunia, Mungu...
Mkuu Mshana Jr umenikumbusha hadithi niliyosoma miaka kenda kadhaa iliyopita nikiwa shule ya msingi katika ile hadithi ya (siku ya gulio kijijini kwetu)
Customer care anaowazungumzia mleta Uzi washaanza kufanya yao hadi hapa jukwaani JF....huu ni mfano hai Wa customer care inayolalamikiwa kutoka jinsia pendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.