Kama anakupenda na anataka kukuoa olewa tu dada.
Changamoto mna values tofauti tu usitafute ushauri juu ya mapenzi yenu kaeni wote muongee kuleta usawa na maelewano.
Nina mashaka wewe ni wale wanawake wenye kiburi na wagomvi ndiyo sababu mahusiano yenu yamefikia yalipofika na ukicheza unampoteza.
Huu uzi umenifanya niende kupima japo kwa shingo upande, nimekwapua boksi la vipimo kwa dokta demu kama hutaki kupima tembea mbele ndomu kama nna shida ya kimoja utembee zako.
Tajiri akioa maskini atakuwa maskini kama atashindwa kumcontrol na muoelewaji asipokuwa na kiu ya maendeleo sababu atataleta idea, roho na tabia za kimaskini.
Hongera kwake
Shamba au pori linauzwa linafaa kwa matumizi yote kulingana na mahitaji ya mteja mwenyewe
Lipo Muriet Arusha km 3 kutoka barabara ya Africa Mashariki
Lipo karibu na huduma zote za jamii
Jumla lina ukubwa wa ekari 3.5
Linauzwa kwa kila ekari 1
Bei ya ekari moja Milioni 16
Mawasiliano 0738950197
kiufupi nimeanza kucheza na android 2012 ikiwa jelybean Xda na hovatek palikuwa nyumbani so hakuna ambacho sikijui japokuwa wameiongezea android security lakini bado kuna loopholes.
Mimi sio mtu wa kuogopa simu zote nilizotumia kwa pamoja nimeflash kuirudisha stock rom mara 100+, nimekupa picha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.