Ukubwa wa kiwanja ni hatua 20×40.
Kipo umbali wa km 1.5 kutoka barabara ya morogoro kuelekea Simbani/Halmashauri ya Mji Kibaha.
Bei shilingi 5.5 M.
Njoo PM.
Mnyika, Mdee, Pauline Gekul na Machali wanajitahidi kukwamisha bajeti ya maendeleo inayoonekana kuwa ni ulaji badala ya kuwanufaisha wakulima. Wabunge wa CCM wanaonekana kutowaunga mkono.!!
Kiongozi huyu hata baada ya kufungwa gerezani kwa kipindi cha miaka 27 hakulipiza kisasi baada ya kuwa Rais. Viongozi wa Africa na dunia nzima lipi wajifunze kutoka kwa shujaa wa Afrika.
Je ingekuwa wewe usingeng'oa meno na kucha wabaya wako. Embu funguka
Wadau tangu CHADEMA watangaze mgogoro wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), TBC1 walisusia kurusha hewani taarifa za CHADEMA, chakushangaza baada ya kusimamishwa uongozi ZZK na Dr. Kitilla Mkumbo wanatangaza habari za CHADEMA na kuwaonyesha wafuasi wa CHADEMA wakichoma bendera.
Kweli TBC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.