MH MBUNGE ZITTO ZUBERI KABWE ALIKIRI KUSHIKWA MKONO KTK ELIMU YAKE NA MAREHEMU SAMWEL SITTA (R.I.P) LEO WEWE UKO WAPI? MSHIKE MKONO KIJANA.
WABUNGE WOTE NA WADAU MBALIMBALI MSAADA WENU NI MUHIMU SANA.
#WATANZANIA NIMEONEWA#bado nina ndoto ya kusoma*
*#NishikeMkonoKatikaSafariYanguYaChuo*...
Uwiiiii Munkari mbavu zangu mie mkoa gan huo walokupeleka nimechekaje ........ you made my day. ila pole sn fanya mchakato wa kuhama ila uctoke kinyemela mg dear
Kwa mujibu wa taarifa zilizotufikia kutoka kwa wakuu wa shule waliokuwa na kikao na Naibu waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi hapo juzi Mkoani Iringa, mhe. Jennista Muhagama naibu wa wizara hiyo alionekana kuwasihi sana wakuu hao wa shule kuwa wavumilivu na moyo wa subira kwa upungufu...
Its true baba V akili ya chris lukosi huwa anaijua mwenyewe maccm wanatakiwa kutathmini watu wao walionao kuwa hawana facts kabisa tutegemee nini wananchi kuwapa uwakilishi watu kama hawa
You thought beyond Zitto hajielewi ni sawa na mafisadi ccm kuweka kila cku hotuba za baba wa taifa zinazowasema wao wenyewe lkn bado wamekazana kuwasikilizisha wananchi cjui ule nao ni utamaduni kwao au kuchanganyikiwa. so well said kwamba Zitto ni mama wa vifaranga
Hata mimi ningekuwa kiongozi nisingekuwa tayari kumruhusu zitto agombee uongoz wa chama kwa sasa hana nia ya dhati na chama, kuna ukweli ndani yake kwa nini iwe kwake wakati CDM ina wabunge wengi wenye hoja , sera na uwezo kina mnyika, msigwa, wenje,mdee nk kama lengo ni kutaka asigombee kwa...
Huyu Zitto nilishaona tangu awali kuwa sio mpiganaji wa kweli ukitofautisha na kipindi cdm ikiwa na wawakilishi wachache sana bungen badala yakuongeza nguvu kwa sasa wakiwa wengi yeye analeta mitafaruku ana ubinafsi wa kutaka kufanya mambo pekee yake
Naungo mkono hoja wanawake bhana miili yao ni complex sana nilikuwa nampango after 5 years to come kuoa lkn baada ya kuona hiyo mambo nimeongeza 5 mingine utafurahiaje maisha hata kama unapesa huku mwenzio kila cku anasumbuliwa mara tumbo, ulcers etc bora aumwe mume maana ke wanatiaga huruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.