Search results

  1. Andrew john

    Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

    Nyie wanaume ambao hamtaki kuchepuka mna shida Sana Kwa kweli. Ungekuwa na mchepuko wala usingelalamika
  2. Andrew john

    Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

    Mzee ni kama alikuwa na hasira zake na watu binafsi akaamua kuwaangamiza wengi, mama akiona inafaa atawakumbuka maana hawakuwa na kosa lolote kupunguziwa mishahara Yao.
  3. Andrew john

    Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

    Uamuzi WA kiume zaidi. Kama anampenda huyo boya wake asepe akaishi nae, ndezi mkubwa
  4. Andrew john

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ni mwishoni MWA mwaka Jana siku ya jumapili nikiwa natokea Moro kuja Dom,. Kawaida kuna washkaji tunakuwaga tunakutana jioni Kwa ajili ya kubadilishana mawazo. Nikawapigia simu kujua location waliyopo, wakanijuza, nikasogea. Nikawakuta wako na warembo wawili wakila bia. Kati ya Wale walembo...
  5. Andrew john

    Hataki kuachana na ex wake

    Kwa upande wangu ningempa makofi na kipigo then nachukua simu yake. Pumbavu
  6. Andrew john

    Ansbert Ngurumo: Paul Makonda aongoza kikao cha maangamizi ya CHADEMA ambacho ni hatari kwa Taifa

    Msiba kakupa evidence ipi ndugu yangu kuhusu magaidi aliyowataja???. Huoni kama wote anaowataja ni kama ni adui wa chama tawala
  7. Andrew john

    Cyprian Musiba: Kikundi kinachotekeleza mauaji kinatoka CHADEMA chini ya G. Lema. Ningemfunga Mbowe miaka 200

    Ila nchi hii kuna watu wanatetewa na wengine wanaonewa. Huyu jamaa kwa taarifa hizi angekuwa wale wanaonewa walahi angekamatwa atoe ushahidi huo na onyeshe yote hayo. Ila nashindwa kuelewa iweje huyu ajue yote haya na intelijensia ya nchi isijue. Hivi wale watu hatari wa nchi mwisho wake umekuwaje.
  8. Andrew john

    Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU)

    Fine unasema wazungu si wema. Haya madeni ya trllion 46.08 nani katoa hizo pesa??? Katoa katibu wa ccm au nani???
  9. Andrew john

    Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

    Hivi demiss yupo???
  10. Andrew john

    Philipo Mwakibinga wa WARAMI awajibu maaskofu wa KKKT; adai wanatumiwa na CHADEMA

    Mbona CCM wanahaha sana kwani kilichosemwa ni uongo au ukweli???
  11. Andrew john

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Mnaweweseka bure wakati issue ni kusolve yaliyosemwa
  12. Andrew john

    Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Mungu ni mwema na taratibu utukufu wake utaoekana ingekuwa heri yao wakasikia ujumbe wa Mungu na kutenda yaliyo mema
  13. Andrew john

    Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Binafsi huu waraka umenifariji sana na hakika yesu atafufuka na wenye mioyo ya dhihaka kwa wananchi wao. Eti maisha bora na mtetezi wa wanyonge huku hali ya maisha imepanda sana na wakati huo unafanya kaazi sana lakini hupati hata pesa ya kutosheleza kulisha familia kwa siku moja tu
  14. Andrew john

    Vijana tuepuke sana kutumika na wasiolitakia mema Taifa hili

    Uoga ni adui mkubwa sana kwa mafanikio.
  15. Andrew john

    Ukweli usiosemwa; Usafiri wa Ndege ni wa haraka na hovyo kabisa

    Mkuu nimecheka balaa. Yalishanikuta hayo na vindege vya watu nne kutoka mwanza kwenda bukoba
  16. Andrew john

    Rais Magufuli zaidi ya kauli za kibabe ana nini kingine?

    Teh teh watu mna maneno nyie
  17. Andrew john

    Magufuli siyo sawa na Mubarak wala Gadaffi

    Nani ameandaa maandamano??? Mimi ndiyo nimesikia leo toka kwa mkulu
Back
Top Bottom