Ndugu mhariri,
Napenda kutumia nafasi yako adhimu kumfikishia Rais wetu mpendwa Comrade John Pombe Magufuri ushauri wangu binafsi kuhusu wimbi hili zito tunalopitia la mheshiwa Tundu Lissu kuyanadi hayo anayoamini huko Ughaibuni, hakika hili sio jambo dogo hata kidogo ni bora busara itumike hasa...
Ama kweli wahenga walisema adui yako muombee njaa. Escrow account sasa ya sababisha kupanda kwa bei ya pesa za kigeni na kuonyesha shahili dhahili madhaifu ya serikari katika kujenga uchumi isipokuwa kusaidia kuubomoa. Hakika hakutakuwa na mabaliko daima dumu bila watanzania kufanya maamuzi...
Kwa namna moja GPA. ni kipimo sahihi cha kushort list applicants wa kazi iliyotangazwa na hasa kwa wale fresh from school, lakini ni ukweli usiopingika kuwa GPA pekee si kigizo sahihi cha kupata watendaji sahihi. Kuwa na GPA kubwa si lazima uwe mzuri kiutendaji kuliko mwenye lower second achilia...
Juma Nkamia (Diploma in Mass communication), Jenister Muhagama (Diploma in Secondary School Teacher - Korogwe ttc), hawa in technical personnel katika field zao with little managerial attributes/skills, sasa ni naibu mawaziri, mmmh!
Labda wana vipaji visivyohitaji msasa wa elimu dunia.
1. Serikali haina pesa za kulipa fidia kwa wale wote watakaoathiriwa na mradi wa umeme vijijni. 2. Watakaodai fidia itabidi wasubiri mpaka pesa ipatikane, hivyo tutaendelea na wale walioafiki kutodai fidia ili kuharakisha maendeleo. (29/12/2013 – Butima, Musoma) Huu ndio...
Juma Nkamia ( Diploma in mass communication), Jenister Muhagama (Diploma in Secondary School Teacher - Korogwe ttc), all these are technical personnel with little of management attributes/skills na sasa wamechaguliwa manaibu waziri, mmmh!!! labda wanavipaji visivyohitaji kunolewa na elimu dunia.
1. Serikali haina pesa za kulipa fidia kwa wale wote watakaoathiriwa na mradi wa umeme vijijni. 2. Watakaodai fidia itabidi wasubiri mpaka pesa ipatikane, hivyo tutaendelea na wale walioafiki kutodai fidia ili kuharakisha maendeleo. (29/12/2013 – Butima, Musoma) Huu ndio...
Napenda kutumia nafasi hii kutoa dukuduku langu. ni miaka kadhaa sasa tangu mheshiwa Magufuri kuitenga kwa makusudi wilaya ya Biharamulo kwa kuinyang'anya barabara ya rami na hatimaye kuiacha katika lindi kubwa la umasikini kwani hata barabara iliyopo kwa sasa ni aibu tupu. ukisafiri kwa gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.