Malengo gani
Kati miaka kumi mitatu kaitumia nje ya nchi
Tz kwa katiba hii sioni maendeleo ya maana tutakayoyapata
Kila kiongozi anaekuja anavuruga ansvyoweza
Nimemwangalia kijana wetu anaecheza kwenye ligi bora duniani huko uingereza ama kweli Benchi la ufundi la Taifa stars halipo serious pale hatuna mchezaji ndugu zangu
Yule mambo ya mpira sidhani kama kweli anayatilia maanani alikuwa anakosa kujiamini anapokuwa na mpira pia alikuwa anapoteza...
Wabongo fikra zenu fupi unabaki unajiuliza swali mmja tu eti ukoachiwa timu!!! What a https://jamii.app/JFUserGuide
Kwani mo kaachiwa timu au kawekeza kwa kufuata sheria
Hata akiondoka wawekezaji ni wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.