Naombeni msaada wa ushaur ,mawazo na mafunzo ya ukalimani na tafsiri.naipenda sana kaz hii lakini.sina dira nianzie wap ili nipate kujua kaz hizi vzr.mm nimemakiza chuo kikuu ,katka taaluma ya kiswahili lunguistics
Naombeni msaada wa ushaur ,mawazo na mafunzo ya ukalimani na tafsiri.naipenda sana kaz hii lakini.sina dira nianzie wap ili nipate kujua kaz hizi vzr.mm nimemakiza chuo kikuu ,katka taaluma ya kiswahili lunguistics
Habar wana jamvi,naomben msaada wa kimawazo,ushauri,vitendo na hata ikibid kaz kama nitakuwa nimekizi vigezo ingawa kwa sasa nahitaj zaid mafunzo.nimemaliza chuo kikuu ,shahada ya kiswahili linguistics.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.