Kwani ukimuuliza Mwingulu Nchemba atakuambia sio BIBLIA kwake??? DON'T PICK and CHOOSE RELIGIOUS BOOKS TRUTH MATTERS!!!!
Hapa ni Mahali pa SIASA; DINI ni IMANI BINAFSI!!!
Tue, Apr 23rd, 2013
A company dealing with hunting blocks business, Foa Adventure Safaris Limited, has filed a suit at the High Court in Dar es Salaam challenging a decision by the Minister for Tourism and Natural Resources regarding allocation of hunting blocks.
In particular the applicant...
By ANDY JAMES
PUBLISHED: 07:22 EST, 22 April 2013 | UPDATED: 07:22 EST, 22 April 2013
A Kenyan referee is suing the national football federation, saying he was left impotent after a coach grabbed and squeezed his testicles in a pitch invasion.
Referee Martin Wekesa is seeking £158,000 in...
Na HAJUI HISTORIA... NYERERE alikuwa anamsupport SAVIMBI kabla ya Agustino Neto... Baada ya Savimbi kwenda vichakani kupigana ndipo NYERERE akaachana nae... kumsupport NETO
maofisa wa polisi mkoa wa Iringa
wakiweka mtego katika nje ya
ukumbi wa St Dominic ili kumnasa
tapeli huyo anayejiita ni mtoto wa
waziri Lukuvi na kutapeli watu
Tapeli anayetapeli watu maeneo
mbali mbali ya Tanzania kupitia jina
la waziri Lukuvi akiingizwa ktk gari...
Nadhani ndio RUGE MUTAHABA aliwawakilisha IKULU kuhusu suala hilo' nadhani hata Rais analijua kwahiyo kuilalamikia SERIKALI sio MBAYA huo unatakiwa ni kuwajibikwa kwa watu wa chini haimgusi RAIS ambaye ndio DIAMONDO anamfanyia kazi
Anasema Anafuata MAADILI ya Waasisi; Kwanini hawataji Majina??? Hao waasisi NYERERE sio MMOJA wao hata Kidogo ndio Maana anakimbilia huko kwa Waasisi; ni wale wa DAR...
Kikwete: Nchi haijanishinda
JUMATATU, APRILI 22, 2013 05:36 NA PATRICK MWILLONGO, BAGAMOYO
*Awataka Watanzania kubeza uzushi, adai anafuata maadili ya waasisi
KWA mara ya kwanza, Rais Jakaya Kikwete amewabeza watu wote, wanaodai kuwa ameshindwa kuongoza nchi. Akizungumza na Watanzania...
Aache kukufuru... Bila Serikali ya CCM yeye na Madansa wake wasingeijua USA ikoje; Lazima awachezee kokote wamempeleka sehemu asingezikanyaga yeye na Madansa wake... na kukaa hoteli swafi bila bughudha ya chakula; Malipo
Bila kumsahau MLETA WATEJA bila yeye nadhani NAPE na KINANA wangekuwa wanaangaliana na MAGARI yao ya kifahari na Wanamlipa VIZURI haswa angalia picha yake CHINI...
Naona Kiswahili kinanipiga CHENGA wanasema LOWASSA kafunika IRINGA; Sasa sijui kufunika ndio nini... Sababu hata KINANA na NAPE walifunika MOROGORO...
Sijui Wanafunika nini???
** MBONA Anakwenda kwenye DINI hivi? ni wa kuogopa!!!
Kaimu Meya wa manispaa ya Iringa Vitus Mushi (kushoto) akisalimiana
na waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa baada ya kutua uwanja wa ndege wa Nduli Iringa
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Teresia Mahongo akimpokea Lowassa
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.