Kama kambarage aliacha mshahara na akawa anakula zawadi anazopewa wao wanashindwa nini. Kama kinjekitile alinyongwa baada ya kugoma kumeza maneno yake wao wanaogopa nini. Kama Mkwawa alijiua kuliko kujitoa kwa wajeuriman wao wanaogopa nini. Wakati wa kuandika historia ni sasa, Je wewe ni nguruwe...
Mfano sio kitu halisi. Tunatumia mifano ili kumfanya mwanafunzi aweze kutafakari. Watu wa evulution hawana imani kwa hiyo huamini mifano zaidi ya kitu halisi. Mungu ametuwekea mifano ili tumjue. Tazama mfano huu. <<Watu wengi wanatamani kuwa kama yesu lakini wanasahau kuwa yesu alikuwa analala...
Mwanadamu wa mwanzo ni Adamu na Alikuwa na akili timilifu. Hakuna mtu aliyekuwepo lakini maandiko na ishara za mungu zinadai hivyo. mungu anasema katika Quran kwamba wale wanao puuza ishara zetu hawataingia peponi mpaka ngamia apenye katika Tundu la sindano. Watu wenye hoja za evolution mwanzo...
Mwanadamu wa mwanzo ni Adamu na Aliku na akili timilifu. Hakuna mtu aliyekuwepo lakini maandiko na ishara za mungu zinadai hivyo. mungu anasema katika Quran kwamba wale wanao puuza ishara zetu hawataingia peponi mpaka ngamia apenye katika Tundu la sindano. Watu hawa mwanzo walikuwa binadamu...
Matumaini ya vijana yako kwa mungu. usiseme CCM au CHADEMA. Hivi ushafikiria kile kitengo cha propaganda na uenezi nichanini. ninavyo jua mimi propaganda ni uzushi (bidaa). Nabii muhammad alifundisha kwamba kila uzushi ni motoni na nabii kambarage alitufunza kusema "nitasema kweli daima fitina...
Mwenge ni ishara ya nuru. watanzania mkiwa na mwenge mtamulika na kuishi usiku kama mchana. Tukilala usiku CCM watavua gamba kama nyoka na kututemea sumu. Mwenge ulikuwa na maana kubwa kwa sababu ulisaidi kutoonesha vichwa vya kututoa kwenye pango la giza. Lakini sasa hawa wahuni wanafanya uongo...
Amkeni nyie mazombi, Wengi wanaolala na wanaume ni mashetani wasiojiamini ambao hawaridhiki kuwa sawa na wenzao, hivyo hutafuta wenzao wawasujudie na kuwatia ubovu (adamu alipokuwa bustanini alidanganywa na ibilisi ale tunda ili awe sawa na mungu) mfano wa tunda ni kutoa section B ukidanganywa...
Alikuwa shujaa wa taifa lake na afrika kwa ujumla. watu waliokuwa na tabia za kupenda kuonea wenzao walikiona na wanamuogopa sana kwani alikuwa mkali. Kuna watu wanashindwa kutofautisha tui na maziwa kwa hiyo wameliwa na wajanja ambao humsingizia Kambarage Uwongo. Kambarage mbatizaji ameleta...
Democracy bring leaders who have no confidence in their financial security. they treat the 5 or 10 years term like havesting time. Our solution is Kingdom of heaven under messiah.
Mwenge (nuru) mean CHRIST. PALE GIZA LINAPOKUWA TOTORO JUA YA KWAMBA ASUBUHI INAKARIBIA.
Enyi kizazi cha upinzani mwenge ni ishara ya nuru itakayo mulika mpaka nje ya tanzania. Kizazi hiki huamini ishara zaidi kuliko maneno. Nyerere ni yohana mbatizaji aliyekuja kuwaandaa watu wampokee Kristo. Alichofanya ni kuuandaa mapito ya bwana. Wala hakuwa mkorofi, babu zenu ndio wakorofi...
Kambarage ni The king of Tanzania. Hii ni nchi yake ambayo amepewa na mungu aikomboe na aijenge. Alijitolea sana kwa nchi yake hata akajisahau yeye mwenyewe lakini watanzinia walikuwa wanakalia akili zao waliutamani sana ukambarage. Maisha ya kambarage ni mpango uliopangwa vyema na Mungu. ili...
Let us take a short survey and compare the two weak nations of Tanganyika and Iran before 1960 and currently weak nation of Tanzania and strong nation of Iran -> Tanganyika gained freedom after mobilization and unity as a nation with one swahili language under the leadership of the Hero named...
Hii inaonesha usivyo mjua mungu. Ukahaba na uzinzi ruksa lakini ndoa no. Jaribu kuwa na mtazamo chanya juu ya mapenzi na ndoa. Yesu au Muhammad wanaku-dislike vibaya sana
Eliya ni nabii aliye ishi kablaya nabii Elisha. Eliya alifanya mambo makubwa kwa ajili ya kutaka kuokoa taifa la Israel dhidi ya laana ya kuabudu sanamu. Alikuwa akipambana dhidi ya wafalme dhalimu na akawatawaza watu watatu kuwa wafalme badala ya madhalimu,mwisho kabisa kazi ya ukombozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.