umemsahau serukambo na mwigulu
"Kwa kuwa wanaume wengi wanabaka, kifunguliwe kituo wafundishwe kutongoza."
Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Leticia Nyerere
'‘Kuna wabunge ambao wana mimba sizizotarajiwa bungeni..."
Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde...
sitaki kuamini nw kama binadam nw wamefikia hatua ya kutomwogopa mungu ivi mtamjibu nini muumba na mkumbuke mshahara wa dhambi ni mauti, nyie policccm mungu atawapa pigo sawa sawa kadri mnavyowafanyia wenzenu just wait
na always mtabaki kutumika na wengine kutanua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.