Du! Nashukuru sana kwa material facts ya hii Jedi maana nilikuwa naitafuta sana. Naomba unaweza kunisaidia material facts ya Jedi ya said mwamwindi aliye muua kleruu. Vaveja sana
Tanzania chini ya serkali ya ccm inafanana na nyumba yenye binti wa,uri wenye mvuto na ndipo vijana wa kila Rika,na uwezo wa kifedha wanaitembelea.
Katka hali hii wazazi wanaona ufahari namna vijana wanavyobadilishana viti kwa ajili ya kupata fursa ya kuongea na mabinti hao.
Lakini kwa ajili...
Hutu shekhe anaonyesha alichoelekezwa na mabosi wake ameshindwa kukiwakilisha kwani hakuna jipya Saudi ya kuuza sura. Namshauri kuwa za kuambiwa aonge,e na za kwake
Ndugu wana JF,
Mapenzi ni kikohozi hata ungeficha vipi litajulikana tu. Tarehe 25/6/2014 kamanda Jobs kwa mbwembwe zake alisitisha maandamano kwasababu rukuki na akaenda mbali Saudi kwa kukemea kwa taasisi na vyama vya soda Fulani vilivyopanga kunyenyua mabango wakati waujio wa Rais Obama. Bila...
Kama waliua mwanamke mjamzito mtwara watakuwa na huruma na watu wazimaKwakweli inasikitisha. Kwabahati nzuri namfaham vizuri mama makinda kwamba kabila lake la wabena hasa WA lupembe wanginyi suala la msi a wanaliheshimy sana sass sijui kuishi mjini kumemchanganya. Amenitia aibu kwakweli...
Naomba IGP asiishie kuongea na waandishi WA habari tu Bali atoe hati ya kumkamata mwigulu na akapekuliwe nyumbani kwake.aidha kama anataka kweli itendeke amtangaze kuwa mwigulu ni mtu hatari kwa usalama WA Taifa
Usishtuke kwani ni haliya kawaida kwa serikalikuwatenga wanafunzi WA arts.mfano,fedha za capitation mashuleni,vita u vinavyotakiwa kununuliwa nivya sayansi tu na siyo arts.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.