Mtoa maada bado una akil za kizaman sana hata wao wa asia wame akeza ulaya kama bado
bado una akil za kizanm sana ww! Kwenye migodi mafuta rasil mal mihim zote kawekeza mzungu! Je umefaidika na nn na wazung zaid ya kuchota rasil mali zenu na kukimbia nazo!
Wa Tanzania wanaongea sana ila wanakiwango cha juu cha ushamba hata ikitokea kapata nafas kasepa shida anawaona wengine wote wajinga yeye tu ndo mwenye akili
Kuna watu wameshaminishwa watu flan ni watu wa aina gn na watu flan ni watu wa aina gan kwaiyo tayr akil yke ishajenga mazingira ayo ni vigum mtu kama uyo kubadilik ki fikra!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.