Search results

  1. M

    Rais Kikwete azindua Sera ya Elimu na Maabara

    Utalipa ww mzazi!!!
  2. M

    Uwezekano wa kuhama Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

    Yeah unaweza, mfuko mzuri ni PSPF na LAPF
  3. M

    Kuhujumiwa kwa ITV katika king'amuzi cha STAR TIMES Dar

    kwanini ITV ihujumiwe kupitia king'amuzi cha Star Times tu?? Kwanini hujuma hizi zisingefanywa kwenye ving'amuzi vyote ambavyo ITV inaoneshwa?
  4. M

    kipi muhimu?

    Fedha kwanza, ili ukipata mtoto Uweze kumpa malazi bora!!!
  5. M

    Jamani, kwani lazima?

    Tuendelee na hadithi yetu tafadhali!!!!
  6. M

    Jamani, kwani lazima?

    Daaaah!!! Paulina kagawa papuchi kwa vidume vinne lkn kazaa chura mfu!!!!! Ila ni uzembe kukubali kusaini yale makubaliano na baba riziki
  7. M

    Wamama watu wazima mtatumaliza

    UDSM hakuna coz ya pharmacy bana, kwani kuna sehem amesema yeye ni mwana chuo wa udsm???
  8. M

    Shule za kata bado hali ni tete!

    Serikali imeban watoto waliomaliza kidato cha nne kusomea uwalim wa primary??? so wale waliomaliza kidato cha nne na kuchaguliwa kwenda kusoma diploma in primary education mwaka huu ilikuaje???
  9. M

    Ma-handsome hawana lolote kitandani

    Atakuwa ni KE tu:teeth:
  10. M

    Kwa wanaosafiri sijui huu ni ushamba?

    Kwani kila mtu anatumia smart phone au???au hujui kua wengine wanatumia nokia kitochi?
  11. M

    Taswira ya Mbagala

    Viwembe vya mbagala ni vya aina gani mpaka kiwembe kimoja kiweze kunyoa vichwa vitano???
  12. M

    Pinda akubali kujiuzulu jioni hii

    Ndugu acha kuharibu lugha yetu adhim ya Kiswahili!!!!:teeth:
  13. M

    Mshahara wa polisi na walimu laki 2 kwa mwezi, sisi BMK tunapiga laki 3 kwa siku

    hakuna mwalimu anaelipwa laki 2 kwa mwez!acha unafiki kijana!hata hivyo,kwan anacholipwa slaa na mbowe ndicho unacholipwa wewe?
  14. M

    Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

    Kwani huwez kudanganya juu ya hili?tutaamini vipi kua ni kweli hakuna wa UDSM?
  15. M

    Walimu watishiwa kufukuzwa kazi wasipotoa tsh. 15000 ya mwenge

    so wanaoambiwa kuchangia hiyo pesa ni walim tu?watumishi wengine hawajaombwa huo mchango?
  16. M

    Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

    Ila kijana kama yeye angekua na mke mmoja na michepuko miwili ya kuzini nayo ndo ingekua sawa eeh??
  17. M

    Ajira TAMISEMI

    Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!! Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI Ajira za tamisemi (isipokua...
  18. M

    Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

    kumbe huyu mama ni shetani mkubwa hivi duuh!!! hamuogopi hata mungu kudhulumu mali za mafukara!! amekomoka leo!!
  19. M

    Msaada: Jinsi ya kuandika barua ya kikazi

    Barua tu inakushinda kuiandika je huo usaili utaweza ww??
  20. M

    Msaada kwa anayejua kuhusu hili

    Watakuja wataalam kukujibu.....!! ila hilo neno "hipi" ni la lugha gani?? au ulitaka kuandika "ipi"?
Back
Top Bottom