Mbona Lizaboni unaonekana huelewi ? Maandamano yanaongozwa na makada wa CHADEMA; yakianzia mahala tofauti Jijini Arusha. Mhe. Godbless Lema anaratibu zoezi hili la kuthibitisha na kusimika Demokrasia na Uhuru wetu. Hakuna kulala mpaka kieleweke, hata kwako wewe Lizaboni.
Kwa taarifa ya LE Mutuz, ambaye anaonekana ni mwanae John S Malecela, aliyeshiriki kama Waziri wakati wa kutunga Sheria iliyoruhusu Vyama Vingi vya Siasa, Sheria inatamka kwamba Vyama vya Siasa vikishapata usajili, vina uhuru wa kufanya mikutano na maandamano kwa amani.
Vyama havihitaji kibali...
Katika thread nyingine yako wewe mwenyewe Lizaboni umesema kwamba Mheshimiwa "alilazimishwa kushika ukuta" akifanyiwa hilo tendo ovu na polisi. Ndipo nikauliza kwa mshangao kama Polisi nao wamekuwa "mentally depraved" kiasi cha kufanya tendo ovu kama hilo kwa watu wazee.
Lizaboni, kwa nini kila unaporipoti Mheshimiwa ameshikwa au amesafirishwa na Polisi unadhani anaingiliwa kiinsia? Polisi wetu wamejidhalilisha kiasi hicho hata kuwaingilia wazee? Or are you depraved in mentality!!!!!
Licha ya kwamba Profesa Safari ametaja sababu za kugombea Umakamu Mwenyekiti, nadhani huyu msomi hakutafakari kwa umakini na kwa kina, eti anataka kukomesha Ukanda, Udini, Ubaguzi wa rangi au Ukabila na Kijinsia, Umaskini na Ujinga pamoja na Ubadhirifu.
Kwanza kuhusu Ukanda, CHADEMA...
Edwin Mtei, Mwasisi wa CHADEMA alizaliwa Mchagga, hakuamua awe hivyo. Alitofautiana na Mwalimu Nyerere na kujiuzulu uWaziri wa Fedha, akimwita Mwalimu "Bwana Haambiliki!!" Sera zake za kiuchumi zimeigwa na CCM.
Fursa ya kuunda Chama m'badala wa CCM aliichukua Mtei 1992. Bob Makani , Msukuma...
Nashauri usome Edwin Mtei's From Goatherd to Governor (Mchunga Mbuzi hadi Gavana wa Benki Kuu) . Mwasisi wa CHADEMA, chama kinachotarajia kuchukua DOLA, naye alilelewa na mama tu. Nimempigia simu kumwaririfu na kumsomea thread hii, akanijibu HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE ifikapo Oktoba 2015.
Kutokana na kushuka mno kwa thamani ya Tsh, nashauri kila Mtanzania mwenye kuitwa ni bilionea agawe jumla ya fedha anazomiliki kwa 1700. Kama atabakia milionea basi ajue yeye ni MILIONEA!!!!!!!!!!. US $ 1.0 = Tsh. 1700.
Kwa vile atakuwa anamiliki Dola za Merikani milioni hizo.
Mimi nashauri CHADEMA kwa mwaka 2015 wamteuwe tena Dr Willibroad Slaa kuwa Mgombea u-Rais ili atekeleze sera zake za 2010 ambazo zimelala kiporo. Dr Slaa ameendelea kuziboresha, na katika miaka hii minne amezielezea sana katika hotuba zake kama Katibu Mkuu wa CHADEMA, nchi nzima.
Ni ukweli...
Mwenyenzi Mungu akuimarishe wakati huu mgumu kwako Mheshimiwa Zitto Kabwe. Pia aipokee na kuilaza roho ya Mama yetu mpendwa mahala pema peponi. AMINA!!!
Hon. Prof. Muhongo might have got high marks in his academic career. He ought however to have learnt that great men are humble and, above all, always attempt to cultivate the respect and appreciation of ordinary folk who are the majority of this world. Extravagant, bombastic bravados and...
Rashidi Mfaume Kawawa, Abdallah Saidi Fundikira, Tewa Saidi Tewa, Sheikh Amri Abeid, Humbi Ziota, Chief Adam Sapi Mkwawa, Amir Habib Jamal, Abdulrahman Mohamed Babu na Idrissa A. Wakil wote walikuwa Waislamu walioteuliwa na Nyerere katika Baraza lake la Mawaziri mwaka 1964, Kawawa akiwa Waziri...
Picha ya hawa waasisi ni ya mwaka 1968. Miaka 7 baada ya Uhuru, Rais Nyerere akiwa nao kusherekea!!! Mbona unamaanisha walisahaulika? Uhuru ulipatiana mwaka 1961; na kama Rais aliweza kuwatembelea 1968, nadhani walikuwepo kwenye sherehe za UHURU.
Kila mmoja wetu ni lazima akutwe na mauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.