Tuwaamshe Kwa kweli hili Jambo linamfanya mkulima anakuwa Masikini kila siku. MADALALI hawana uchungu na mali za mkulima hata kidogo ona hapo ndizi zimeoza wamegoma kushusha bei basi wangetoa hata sadaka Tu lkn MADALALI wamekomaa sana
Mimi ninauza genge la mboga mboga na matunda.Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa biashara katika masoko ya jijini Dar es salaam kama Mabibo, Buguruni, Temeke, Stereo na Ilala.
Katika masoko yote haya hakuna mkulima anaruhusiwa kuuza BIDHAA zake sokoni. Mzigo unapofika sokoni...
Muda wenyewe mchache Sana nadhani halifiki hata saa moja nadhani linavumilika ! Kinachotokea ni kwamba msikiti unakuwa hautoshi,hivyo watu hulazimika kutumia barabara Kufanya ibada hiyo...
Kweli Bora umelileta Jambo hili hapa. Utapata ushauri na misemo ya kukuvunja nguvu na kukuinua pia. Mm nataka kukwambia kuwa Vijana wengi WA miaka hii hufikiria kuwa Mali za Baba au mama ni zao. Huwa hawajui kuwa Baba zao hawakupewa Mali na baba zao yaani Babu yako. Sasa ikiwa Mzee ameamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.