Wakuu habarini.
Kama kuna mtu anafahamiana na mtu ninayeweza kumwagiza perfume toka Zenji aniunganishe nae, naskia huko bei za uturi ziko chini.
Wasalaam...
Kwa wale wakulipwa na hazina Jana jioni kulikua na ongezeko katika kibubu changu chakupokelea mshahara, mpunga umeanzia CRDB wa NMB kaeni mkao wa kula.
Source: account yangu mwenyewe
Nauliza tu kwaupole.
Hivi kuwa member wa JF unatakiwa uwe na
uzoefu??
Na kama uzoefu usipungue muda gani??
Maanake member mgeni akileta/akichangia
uzi utaona kuna mijamaa inamsakama "ooooh kwanza ni mgeni hapa jamvini"
Au JF ni kwa wakongwe pekee?
Sasa waanzilishi wangekua wananyanyapaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.