Thanks MAMA nimekulewa UKs first official sharia courts na wanatakiwa wengine waisome vizuri kabisa
Pia nataka kumwambia OPAQUE kwamba tuelewe uzuri Serikali sio itabeba mzigo wa OIC itapata manufaa
hichi chama pia ni kwaajili ya kusaidi wailsamu ina wadhamini wa kiislamu huko mbele...
Asante Mzee Wakijiji endele kufuatilia.Naomba ufuatilie Habari ya Mgodi wa BUHEMBA wiki iliyopita Mh:Nimron Elirehema ilisema `Kampuni iliyopo kwenye mgodi huo (Mouritious)
imeiba pesa zaid ya EPA embu tupatie za ndani zaid.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.