Kila nikijaribu kutizama wamiliki wa hizi kampuni za usafirishaji (bus) na ukwasi wao,, influence kwa mamlaka + power of lobbying yao,,, sioni mkuu wa mkoa akifanikiwa katika hili!
Pole sana ndugu, binafsi nina miezi kadhaa toka nimpoteze mzee wangu, kuna moment huwaga namkumbuka snaa adi chozi linantoka,,Hakika wapumzike kwa amani wazazi wetu wote walotangulia mbele ya haki!
Kaka nimekuwa nikilisoma andiko lako hili mara kwa mara,,, since way back 2017, not only cause of your good writing style but also your sweet content flowing and organization!
So nilichojifunza toka kwako,,,,, lets be good to the people,,, eenheee Mwenyezi Mungu nijaalie namimi moyo huu wa...
Binafsi kwa uteuzi huu,, umeniondolea imani kubwa nilokuwa nayo kwa mteua,,, kwani zaidi 75% ya wateule wake kwenye huu mkeka hawana sifa stahiki za kuwa kwenye hizi ofisi nyeti.
Ni kazi ambayo sintoweza kuifanya katika maisha yangu,,,,,nakumbuka wakati nimenaliza first degree waliniita kujiunga nao baada ya kufanya usaili,,,,lakini nafsi ilikataa kabisaaa nkawapotezea!
Binafsi japo si mwema sanaa ila kwa hakika Mungu hamtupi mja wake,,,,,,God has always been so kind to me,,,,maana amenitendea mengi makubwa hata ambayo sikustahili kwakwelii!!!
Ila kuna hili moja ambalo ndo linanitesa Sanaaa bado hajanijibu kila nikimuomba na ni muda sasa kwa macho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.