Zomba wewe ni mjinga lakini sio --------... naamini ni ukosefu mdogo tu wa uelewa kichwani mwako na amini ukipata mwl mzuri anayefanana na mimi atakupa machache yatakayokua mengi na toshelezi katika kuizibua akili yako iliyojaa umande mgando.... zomba wewe unambeza mwl Jk Nyerere kwakusema kua...
Wanatumikishwa kwenye kesi za kijinga nyepesi wala hazina maana hata kidogo kwakweli hawa mawakili wa serikali hawatendewi haki hata kidogo kwa upeo wang kazi ya uwakili ni kama mcheza mpira au mwanamasumbwi kukutana na mechi ngumu ndo kiwango kinakua lakini ukikutana na kesi nyepesi nyepesi...
Napata mashaka sana na naumia sana kuona chama kilicho undwa na watu makini kama wakina Mwl nyerere kawawa sokoine karume na watu makini wengne leo hii kuongozwa na watu kama Nape na Mwigulu watu wenye fikra mgando wasio watambuzi wa alama za nyakati wenye hurka mbovu za visasi chuki na jeuri...
Serikali imeshindwa kuweka misingi ya hati miliki kwa wasanii clouds fm na wezi wengine wakiwemo wasambazaji wanatumia udhaifu huu wakutokua hati miliki kunyonya kuwaua kimuziki na hata kuwafirisi kwa kuweka vikwazo vingi kwa lengo la kusujudiwa kama hauku muelewa Mh sugu na ant-virus basi wewe...
Huyo kwa vile yupo sehemu yenye fursa ndio maana ametimiza ndoto na kipaji kimeonekana Ila labda tu nimwambie Mr president kua watoto wa aina hii wapo nchini na anaweza kuwapa mkono hapa hapa nchini kama atahamua kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwa watanzania kuhakikisha maisha bora yanapatikana...
Kanuni zinasema kuwa Kaka mtu ametokea kutuhumu ataitwa asibitishe kauli yake au taarifa yake Mwambene fuata utaratibu kama ulivyoanza kusema ila usitumie mamlaka yako kukimbilia kufungia gazeti Juan kufanya hvyo ni kubana haki ya watanzania kupata habari kama ambavyo katiba inasema katika ibara...
Kwa mujibu wajibu na uwezo nilionao kutokana na katiba ile ile ya mwaka1977. Ninauwezo wa kusema lolote pasi na kukiuka masharti sheria ama uhuru wa mwingine sasa nasema "TUACHE KUSEMA TUSIYOYAFAHAMU"
Mambo yamsingi yapo kibao tena yenye tija kwa taifa hili ambalo sasa limeanza kupoteza sifa yakua tulivu na sio kukaa na kuandika mambo ya umbea umbea wakuchungulia watu chumbani kwao sasa mambo ya Ridhiwani na mkewe jamii ijifunze nini achani mambo ya kimasikini toeni taarifa za kiuweredi na...
Serikali YA CCM inapaswa kujua na kutambua kua uhai wa mtanzania mmoja una thamani zaidi ya trillion za gesi huko Mtwara hivyo basi inatakiwa kwanza kulinda uhai wa watanzania na sio kuthamini gesi kufika Dar es saalam na kuacha uhai wa watanzania wa Mtwara ukipotea. Huu kwangu night ukatili wa...
Nimekuelewa sana movement hazikomi sugu ni msanii wa bongo fleva sugu anaijua cloudz naweza sema kuliko mwngine yeyote pia sugu anamjua ruge anatabia na hurka gan?sugu anajua anachokisema maana kimemtokea yeye binafsi ila kutokana na uelevu na kuishi sana duniani(outside)kumempanua fikra na...
Ni wazi kua u chama tawala ndo maana unaropoka mambo yasiyo na msingi CHADEMA wanapinga hoja na mabovu ya serikali siku zote ila awapingi mtu na afya yake mtu akipata matatizo ya kibinaadamu siku zote CHADEMA ushiriki pamoja lakini chama hiko ulicho kutokana na kushindwa wamejikuta wakichukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.