Kwenye pid na uti hapo nakataa sana...japo ni njia za uambukizaji....lakini angalieni hizo pad na vyoo mnavyotumia...maana mie ni mmoja wa watu ambao sitoki nje na mke wangu pia...lakini maambukizi ndani hayakuisha mpaka tulipobadili style ya maisha.
Kumbe ikilalia upande huu ....ndio inakuwa sio haki....ila ikiwa upande wa fe....ni haki na kila mtu anasimama na kuisifu mahakama....wanaume tujitafakari sana usalama wetu unazidi kushuka sana...na cha kusikitisha ni kuwa wengi wetu ni wasaliti.
Wafanye unit 1=100 maana yake 1000=10 unit... Ukitoa 10000= 100 unit, hiyo iwe kwa residential(majumbani) halafu huko viwandani napo wawafikirie....lakini kwa hivyo watu wataona umeme ni bora kuliko mkaa na gesi, watu watafunga ac majumbani pasipo hofu ya bill, mashine za kufulia hazitakuwa...
Kwa nini mnahangaika kumtetea Yesu....kama vile hayupo...si alifufuka na kupaa na kuahidi kurudi...sa nguvu/povu za nini wakati yupo hai...mwacheni ajitetee mwenyewe. Siku akiona uzi huu na nyuzi nyingine nyingi kama za Kiranga ataamua mwenyewe nini cha kufanya acheni kupoteza muda.
Nini maana ya mkataba, au hapa huwa mnasaini tu, na je ipoje mkataba unapovunjwa ....kiufupi hapo unastahili fidia ya kodi yako plus muda na hasara ya kuleta mzigo hapo halafu akakubadilikia...nenda mahali tafsiri ya mikataba inapofanyika utafsiliwe huo mkataba.
Hata hizo nyingine bado ni kipengele, kiufupi namba zote za taasisi za kiserikali yaani unaweza piga halafu ukapiga tena na ukaendelea kupiga hadi ukapiga. Ni taasisi chache sana za kiserikali zinajua maana ya kuweka mawasialiano yao hasa simu.
Mpaka pale utakaopojua kuwa akili sio rangi ya ngozi, na kuwa kipimo cha akili sio hicho unachofikiria ndio utakuwa na utimamu...lakini kwa sasa endelea na imani yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.