Habari zenu ndugu zangu.Naomba kueleshwa vizuri kuhusu ziara ya Rais wa marekani barack obama kuja hapa tanzania.
Huku mtaani kuna maneno mengi kua amekuja kwaajili ya dili zingine kama za gesi,madini na yurenium.
Na wengine wanadai labda kwakua Rais wa china nae alikuja anadhani anaweza akawa...
Jamani ndugu zangu mwenzenu nakufa na njaa maana sifanyi kazi bcoz umeme hakuna.Hivi wana FR hasa walio mikoa mingine nje na huu wangu wa arusha niambie,huko kwenu umeme unakatika kama huku kwetu?
Huku kwetu hasa maeneo haya ninayoishi ya ngaramtoni umeme ukiuona nusu saa basi inabidi ukatoe...
Jamani ee leo mimi nina kilio kikubwa na wana arumeru magharibi.Hivi huyu mbunge wetu mh Godluck ole medeye yuko wapi!
Arusha mjini wenzentu wana jembe Godbles lema.Arumeru mashariki kuna dogo janja Joshua Nasari.Sisi arumeru magharibi mmmhh yuko zake kule juu anakula bata.
Yaani huyu jamaa...
Kwanza naomba niwatakie wana jf wote heri ya mwaka mpya.Nawashukuru wana jf kwa kwakunikubali kua pamoja nao ktk mtandao huu jf.Naahidi kua mwaminifu kwao na pia kushikiana nao ktk kila jambo.Ni mara yangu ya kwanza kuongea nanyi kwa hii kwahiyo naomba mnibebe.Ahsante sana na mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.