"Wakati mwingine kusema ukweli sehemu fulani ni upuuzi mtupu, na hauna maana, wakati fulani pia, kusema uongo ukichanganyika na busara unamaana sana, na huwa ukweli wenye msaada kamili". Godfrey Nangeda
Hivi nyie TANESCO Vikindu mna matatizo gani? Mbona kila Jumamosi mnakata umeme kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa 12 jioni Bila maelezo yoyote? Huku kuna tatizo gani ambalo kila Jumamosi umeme lazima ukatwe?
Nimefanya utafiti mdogo nikagundua kuna series ya hii tabia.
Source mimi mwenyewe na...
TANZANIA MTANDAO NAMBA MOJA NI HALLOTEL, WENGINE MAKELELE TU, NAWAPENDA HAWAPIGI KELELE WANAFANYA KAZI SAFI SANA HALLOTEL.
WATAALAM WA KUTUMIA SIMU TUKO HUKO TUMETULIA TULI, HATUANGAIKI NA MAKELELE MENGINE.
Wiki chache zilizo pita bosi mmoja wa bandari alisema bandari mambo shwari, miezi michache TRA, wamekuwa na makusanyo yaliyo vuka lengo, juzi juzi mkuu kasema kama watu wakiendelea kuficha fedha, anaweza kuamua kuchapa noti mpya ndani ya siku mbili.
leo kamati ya bunge inaambiwa tena na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.