mi nafikiri vyama vya upinzani vipo kimaslahi zaidi,kwa mfano ndani tu ya chadema hakuna muungano ona mtu kama zitto madudu anayoyafanya ndani ya chama chake,angalia cuf hamad rashid anajua utamu wa kuwa kwenye uongozi wa kambi ya upinzani ndio maana analeta mashinikizo yasiyoeleweka,nccr ndo...
sisi wa-afrika kwa wazungu tunaonekana kama ''nyani'',kana kwamba haitoshi sisi wenyewe tuna tabia za kinyani vilevile, kwa mfano, tazama jinsi tulivyo warahisi kushawishiwa na wazungu juu ya mambo yetu muhimu yanayotuhusu mfano mzuri ni jinsi wazungu walivyo behind vita zote zinazo endelea hapa...
mwenyewe nimeskia hzo habari!ila kwenye msiba wa marehem amina chifu wa ubena alilalamika sana kuhusu msiba wa binti yao...kwmba aliehusika lazma amfate!sasa mi cjui nimehusisha 2 matukio
Uhuru wa vyombo vya habari haupo hapa tz ingawa wananchi wasiojua hilo wanadanganywa kila siku,watz inabidi waamke nafasi pekee iliyo baki ni 2010,sio lazima iwe urais hata tukiwanyima hawa mafisadi viti vya ubunge itatusaidia sana maana ndio wanaamua kufungia magazeti kiholelaholela kwa kuhofia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.