Nawe iqu yako nusu mkate kabisa.Kwani hata wakibaki watabadilisha nn ndani ya bunge wanaongoza bunge niwalewale wakiukaji wa sheria wakubwa nahawaruhusu wafurukute
Ishakuwa inchi ya matamko tu from presidaa to followers.Majibu yanajulikana kama mwanga wamchana alafu wanatuambia eti anayejua mali mali za mafisadi asadie hivi za escrow pale stanbank hazijulikani nani kachukua kweli?Wapeleke using wao na serikali yao ya matamko nyuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.