Search results

  1. M

    Star TV na media coverage ya sherehe za mapinduzi Zbr

    Kumbe tatizo hupati*Tumaini? Pole, Kwani hii tumaini ndio nini huku Visiwani?
  2. M

    Mshahara wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri na Watendaji Wakuu Serikalini

    Naona tuanza sisi kutaja mishahara yetu kabla kutaka kujuwa ya wengine, vinginevyo umbeya huo! Wangu ni wa kima cha chini! Jee ulioanzisha mada, wako ni kiasi gani?
  3. M

    Ismail Jussa amtukana Sitta, Nyerere na wa Tz Bara!

    Kuwa na busara, unaanzisha mada isio na mashikio, kwani kasema kitu gani, naona una bwabwaja tu. Nukulu alicho kukera
  4. M

    Nyerere katika kuwabeba wahindi na matokeo yake kwa Mtanzania wa sasa

    Lakini kwanini Nyerere kuwasaidia hawa magabachoodi, ni kwa ajili ya rangi yao imefanana na yake, maana kumuita Nyerere Muafrika mweusi si sahihi, alifanana na Amir Jamal zaidi kama angetia curlkit! haha ha, mbona Bryson tumem sahau , kizazi chake kimekimbilia wapi?
  5. M

    Wanaotaka Muungano Uvunjike watoke kwanza Bungeni na BLW

    Wakuu hebu tuzingatiye, hivi Katiba yetu imetowa mwanya wowote wa kuukata Muungano, hivi ulikuwa muungano wakulazimishwa au wakhiyari, jee ilikuwa ni ndowa isio na TALAKA? pengine ndoa ya aina hiyo ni ngeni kwa wazenji au solution ni kufanya kama walivyotanguliya kwanza wasudan ya kusini?
  6. M

    Kikwete 'awapakazia' viongozi wa dini biashara ya madawa ya kulevya

    Maaskofu kumpa ultimatum JK ni namna moja ya kujisafisha! Lakini kweli Kanisa ni safi? Hivi tumesahau kuhusika kwa Kanisa na Meno ya Tembo, akakamatwa na kufungwa siku moja tu, na ya pili kukimbiliya VATIKANI? vile jina lake anakumbukwa?!
  7. M

    Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

    SIRI YA MTUNGI PILIPILI USIOILA YAKUWASHIYANI? Badala kutueleze Sokoine kafaje au Kolimba kafaje, mwaleta hadithi za Alfu ulela! Mwajuwa kuwa huyo Salim ni mmoja wa watuhumiwa? na aliyemlinda ni nani? Sasa aliyemlinda naye ahusika? Fumbo mfumbie.....
  8. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Maskini, unakwepa mkojo na kukanyaga kinyesi, unaukataa ubwana na kuutaka utumwa? Wote CCM na Chadema are birds of the same feathers!
  9. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Ufinyu wa maarifa yako kuhusu Zanzibar, unanizuiya kukujibu kwa data! unasahau znz ilikuwa ni nchi yenye uwezo kiuchumi, taaluma kimaendeleo na mambo mengi kuliko Bara, kabla Muungano? nikuthibitishiye vipi ikiwa unamuona Sultani ni mgeni na Karume ni mwenyeji! I can't help it, Ican't correct...
  10. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Hili si tatizo la kujitakia bro, ni tatizo lilopangwa! Mwezi mmoja tu baada ya Muingereza kutoa Uhuru, nchi yapinduliwa na waliowengi, miezi Mitatu kanchi kaungana na nchi kubwa zaidi ya mara Mia kiiukubwa na idadi ya Raiya, upanda wa pili wa bahari tena hawana common tribe wala common...
  11. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Nadhani tatizo ni jina la hiki kacheo cha raisi wa Zanzibar! hivi ana madaraka gani zaidi ya Mkuu wa Mkoa? ni kiini macho tu, eti ana bendera ana wimbo wa taifa, anapiga baruti 21 akipokeya mgeni, lakini ana Nchi ikiwa haina "sovoreignity"?
  12. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Thnx 4 ur comments. Hakuna kitu mawakili wazuri, system imeshika mpini, watakalo huwa! Kwani umesahau tume ngapi zilikuja na mapendekezo mazuri, lakini zikapigwa na chini! haikuwa ya Nyalali akiwa madarakani, ikatupwa huko, usichezee system bro. husubiri mpaka mambo yawageukiye, kama ya...
  13. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Lamsingi, tunaposema Tanzania ! nimetowa hoja juu ya hali iliotanguliya toka kuanza vyama vingi! Ikiwa tutakuwa na Tanganyika, hakuna ugomvi, lakini kitu Tanzania ni Muungano na kila mwenye hisa katika muungano ana haki sawa na mwenziye. Ni kwa mantiki hii ndio zanzibar ina haki ya kuwa na...
  14. M

    Elections 2010 2015 mgombeya uraisi wa tanzania awe mzanzibari

    Ni jambo la kusikitisha, toka kuanza kwa vyama vingi, hapajakuwako na chama chochote cha siasa kilichopendekeza mgombeya Uraisi wa Jamhuri ya Muungano, kutoka visiwani! Hii inatowa taswira gani, hawana uwezo au hawastahiki? kuna haja Katiba mpya, ibaini wazi kuweko uongozi wakupishana...
  15. M

    Karume Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano

    Kweli ni upuuzi kujadili udini, lakini ni ukweli usioepukika! katika kila nyanja za maisha yetu, kitaifa au kitaifa, udini umetawala! hata ndani ya vyama vya siasa, ndani ya makabila tena iweje JF inusurike. Ni kasumba tuliolewa, japo tunajitiya kuikataaa!
  16. M

    Karume Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano

    Mlokole atakubalika au shuruti awe Mkataloki?
  17. M

    mahojiano na Mohammed Said kuhusu uislam na uhuru wa Tanganyika

    Ni kweli Mod. likija lolote linalotu umbuwa, peleka huko! tudiscus yale tu yenyemaslahi nasi! hehe he! weldone democracy, in favor of majority, inspite of being ignorant!
  18. M

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    can they dare reject? basi nawandamane!
  19. M

    Mzawa ni nani?

    and who is a native? just by birth, culture, color, religion or what?
  20. M

    Mzawa ni nani?

    Hivi Amir jamal, Bryson, Salim A.Salim ni wazawa? si kosa la Nyerere kuwatanguliza?
Back
Top Bottom