pundit ni mgumu sana kuelewa, halafu, ana tabia ya kutaka watu waamini chochote kila ambacho yeye anafikiri ni sawa, kumbe yuke nje ya point kabisa. nitakachokushauri pundit ni kwamba, unatakiwa kung'ang'ania tu zile point zinazotokana na masomo uliyosoma, hapo ndo utajua unachoongea. it is of...
sasa wafanye nini wakati maisha ndo yanaruhusu waishi vile, wanaweza wakakaa hata chooni alimradi tu wanaishi. wenye uwezo wamefisadi kama wapendavyo, ajira hamna, elimu kiduchu, matatizo mtupu. sasa watu wanaishi alimradi wanaishi, alimradi kunakucha. kuwe kuchafu, twende, wanye mavi nje...
hahaha, sheria gani kwa hapo mkuu, rekebisha ni ipi ambayo siijui na wewe uweke ukweli wake....mbona una hasira bwana mdogo....tatizo sio wewe uje unichukue mimi niwe mwanasheria wako, tatizo ni kwamba hautakuwa na uwezo wa kunichukuwa mimi kwasababu mimi fee yangu iko juu sana na kesi ya...
sasa wewe ulitaka mimi nianze kuandika sheria hapa kwani nafanya mtihani au naandaa kesi yangu? mimi hapa siwezi fanya hivyo, niko naandika point mbalimbali kwenye topic mbalimbali, siwezi nikacheleweshwa na wewe unaetaka vitu kama hivyo, nenda shule au kachukue mwanasheria yoyote atakusaidia...
hii ni opportunity kubwa kwa wakenya, wanaomba usiku na mchana ili tz kuwe na machafuko ili tufanane, mbona wanaleta ushabiki kwenye ishu zetu? waende zao huko. matatizo ya tz na zbr tunayajulia sisi wenyewe.
kama ulishawai kuwakuta ma identical twins sehemu wanapigana, ukaamua kumpiga mmoja...
hahaha, wewe, unataka sheria inayoonyesha provocation, ni nyingi mkuu zikikusanywa pamoja ndo utapata kitu kimoja. ila nitakupa mbili tu kwasaabu siamini kama wewe unajua sheria, hata ukipewa nyingi huwezi elewa kitu. Nenda kasome penal code tunayotumia hapa tanzania, na sheria ya ushahidi ya...
ni sheria gani hiyo, itaje, ndo nitajua kuwa unaelewa unachoongea. kama unasema ipo sheria, don't speculate, sema sheria fulani ndo inasema hivyo. usilete mambo ya kwenye magazeti na novel hapa mkuu au bwaga ongea point zingine waache wenyewe waongee hapa.
nani hajui kuwa nssf ina udini, yule jamaa kwana anatumiwa na manji anaetaka kufanya dili fulani ya kichafu ivi, na kama masau yule mchaga rafiki yake Mengi, lazima tu angekuwa taget wa manji. pole sana. hawa mafahari wawili sijui watapumzika lini, basi waumie wao badala ya nyasi kuumia jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.