Wanajamvi nimesema kwa mwenye elimu ya mapenzi nikimaanisha:
Kuna tabia ya watu baadhi Rika tofauti jinsia tofauti wana mtazamo ambao Mimi binafsi nashindwa kuelewa
nikweli mwanaume mwenye vidole virefu inamaanisha 3rd leg nao Ni mrefu
nikweli mwanamke mwenyekidole cha mguu kirefu katikati...
Ndg wanajamvi najitokeza hapa katika eneo la watu walioelimika nikiwa Mtanzania napenda nipate ufafanuzi kuhusu swala la TANESCO Mimi ni mteja wa muda mrefu wa Shirika letu la Uma nililipia gharama zote ndipo nikaunganishwa na huduma hiyo
Swali, nalipa service charge bado nanunua huduma kwanza...
Ndg wana jamvi nimekuwa napata maswali mengi hasa kwa sie tuendao bafuni na ndoo au karai ukitanguliza maji ya Moto utasema unapooza ukitanguliza baridi unapooza
Mfano huu unamaanisha wewe Una hamu na tendo la ndoa mwenzio hajawa tayari AMA haelekei au haonyeshi ushirikiano je.unatakiwa...
Watanzania wenzangu wana WA Arusha naleta Uzi huu mnisaidie kuweka wazi ile dhana iliyojengwa kuwa arusha ya zamani ilikuwa bora zaidi ya arusha ya sasa tafadhali nipatie sababu japo mbili kama sababu zako zitanibadilisha mtazamo wangu kifikra
naomba kuwasilisha
usichangie
Ni swali nimekua nikijiuliza Mara nyingi bila kupata jibu inasababishwa na nini mwanaume wakati WA aja ndogo (kukojoa) huwa atanyanyua macho juu aitha wakati anaanza AMA karibia na kumaliza
tafadhali nipatie jibu kwa aliyewahi kukumbana na hali hii au chunguza
naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.