nauza tecno p5 imetumika miezi minne,haina tatizo ktk matumizi ila kioo kidogo kimecrack,nakupa memory 4GB nacharger.....npo Arusha nahitaji pesa fasta.....!picha what's up huku nimeshindwa kuatach.
Kwa mara ya kwanza kabisa katika
maisha yangu najuta kabisa kuwa
mtanzania, taifa la watu wajinga,
taifa lisilo na mbele wala nyuma,
jambo ambalo hata mtoto mdogo
haliwezi kumsumbua eti majitu
mazima yanapiga yowe kuwa dola
imepanda. Mnataka shilingi ya
Tanzania ipande kwenda wapi...
R.I.P udom student,policeccm akili ndogo ukijumlisha bangi=vibaraka wabei rahisi waccm na serekali yao iliyojaa rushwa.kumuua mtoto wawatu ambae wazazi wake maskini wamewekeza kwake aje kuwakomboa niunyama wahali yajuu sana!hii nchi hiii mungu atuepushe kabla hatujaja chinjana kati yawalionacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.