Point. Polisi wakifanya kosa mara nyingi wao ndio huandika jarada, kufungua kesi na kujichunguza pia. To be fair, there is a need of involving independent entity especially when the matter is about them.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wiki tatu au mwezi mwezi mmoja uliopita nilipoteza simu yangu aina ya Lenovo K5 pamoja na vitu vingine wakati nikisafili kati ya Confort hoteli maeneo ya kitonga na Igumbilo cheki pointi Iringa.
Simu iliyo potea ina matatizo ya display pamoja na housingi, kwa ufuti inawaka lakini display...
This is what we read from books. Matibabu ya ukimwi yanafanyika kwa mitindo tofauti. Je unajua ukipata ukimwi ndani ya siku Saba unatibika? Why ? Je unajua mtoto aliezaliwa na ukimwi anaweza pona ndani ya five years kwa combination za ARVS . Let us think out of the box
Wakiomba ulinzi wa polisi wakati wanahitaji kwa usalama hawapewi. Wakati wako salama na hawahitaji ulinzi wanzuiwa. This is only in tanzania. I sugest he suprises them again with a new strategy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.