Yaani katika vitu vinavyonichefuaga sana ni hiyo 1,000/= ya uongo unayopewa hewa baada ya kununua umeme kwa mpesa!!! sijui vodacom kwa nini voda wanatufanya wateja kama toys? naungana na ninyi hawa Voda kwa sasa wanaenda kubaya!
Big up! I wish kama wanaume wote na wanawake wote walioko kwenye ndoa wangekuwa na mtazamo kama wako basi maambukizi yangepungua kwa kiasi kikubwa! watoto wa mitaani wangepungua! kila kitu kingeenda safi! kama hiyo ndo kaulimbiu yako Mungu akuwezeshe na akubariki! zaidi akupiganie usijeanguka...
Nakubaliana na wewe mkuu! sio wote wanaoonyesha nia ya kukusaidia wanamaanisha hivyo! wengine wanafanya hivyo ili wajue kila kitu na kupata nafasi ya kukuharibia zaidi.
Nakubaliana na wewe mkuu! sio wote wanaoonyesha nia ya kukusaidia wanamaanisha hivyo! wengine wanafanya hivyo ili wajue kila kitu na kupata nafasi ya kukuharibia zaidi.
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" maarifa ya kiMungu yanatoka kwa kusoma neno! unapolijua neno la Mungu unakuwa na macho ya rohoni! Hatupashwi kuhukumu lakini kila mwenye macho huona! Mungu atusaidie sana!!! Sio kila nabii ni wa Mungu! Ni vyema tukaomba msaada wa roho wa Mungu kuwajua...
Yaani kweli kabisa elimu ya sasa inawandaa watoto wetu wawe tegemezi kabisa! hawajui hata kushona, enzi zile lile somo la Sayansikimu lilitusaidia sana mpaka sasa tunaweza kufuma na kushoa, watoto wa sasa utawasikia nguo imechanika kumbe imefumuka hawawezi hata kuishona.
Tulijua kulima na...
lol! yaani umenichekesha sana! umenikumbusha mbali kweli hasa Gulibiti!! haha haa na enzi zile pipi tulikuwa tunaita peremende na chewing gum ilikuwa bazoka!!
Du wale waliosoma Wilolesi Iringa kwa Kajiba, enzi hizo kila J3 na Alhamisi kuna parade, ilikuwa shule ya kikakamavu! du kulikuwa na...
Mhh foleni gani zilizopungua? Au mwenzetu umehama Dar? Na pia trafic kuwepo wanapunguza sana tatizo la foleni. Nakushauri kajipangu na uje na data za kutushawishi!
Ameeeeeeeeeeeeeeen mkuu! hakuna wa kushindana na Mungu! waache watapetape sisi akina Daudi 2015 Kabaang! kwenye paji la CCM! kwisha habari yake hapo ndipo watakapoamini hawawezi kushindana na MUngu! waache watengeneze video kibao badala ya kuangalia changamoto kibao zinazokabili nchi na...
Katika hili tunamwitaji Mungu! Bado Mungu atabaki kuwa Mungu! kwenye ukweli uongo hujitenga!! wasikurupuke na hili maana hakuna linaloshindikana kutengenezwa na magamba!
Hongera sana! Kachape kazi na kusimamia kusudi la Mungu na utaendelea kusonga mbele! ila usisahau fungu la kumi ili uendelee kuteka baraka kisawasawa! best wishes
Hongera sana kwanza kwa kuweza kufikisha kipindi hicho cha ndoa! Mungu akuongezee maisha na kusimamia ahadi zake katika ndoa.
Pole sana dear wangu we are in the same boat! But Mungu akupe moyo wa uvumulivu na kwa jinsi mnavyomisiana ndo mnazidi kukuza penzie lenu, endelea tu kuwa na mawasiliano...
Napata shida sana uelewa wa viongozi wetu, jinsi wanavyochambua mambo!! sasa anaposema serikali isilaumiwe ana maana gani?? sawa kuna sababu zingine ndogo ndogo zilizochangia lakini kuwa ni serikali!!!
Shule lukuki bila walimu na vitendea kazi
Mitaala haieleweki!! kila kukicha inabadilika...
Ha haa! unakataaa kile ulichokuwa unaapa na kunenea tofauti na hicho! mfano kisidumishwe milele bali tupate chama kingine chenye kuleta mabadiliko katika nchi yetu!
Habari wana JF, poleni na majukumu mbalimbali!!!!
Nabisha hodi kwani ni mara ya kwanza kupost hoja humu jamvini. Hodi Hodi......................
Kwa wale wanajamvi waliozaliwa miaka ya 70s mnakumbuka kiapo hiki??
Enzi tulipokuwa na chama kimoja yaani CCM, inapotokea sherehe fulani hasa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.