Najisikia mwenye tabasamu na kicheko cha kugugumia moyoni.Nilijua wapinzani pekee ndo watakao isoma namba,kumbe hapa kazi tuu. inaanzia kwa wenye CCM(CCM ina wenyewe) kweli awamu ya tano wengi wataisoma NAMBA
Ndugu TumainiEL nakushauri kuwa; Tenda Haki iishi Haki kwakuwa maisha yenyewe ni mafupi sana, Miaka Themanini kama unanguvu lakini Kumbuka kuna maisha mengine baada ya hapo(ask yourself this question Where shall you spend your eternity?)ukishapata jibu lake basi utawahurumia wa TZ NA kuwaombea
Shamba! lenye ukubwa wa Hekari 11 Linauzwa sh 30M Kibaha Madafu km 7 kutoka Barabara ya Morogoro.lina miti ya mikorosho michache halija pimwa. Ukiwa INTERESTED Usisite kuni PM Au kunipigia kupitia namba 0784/0657 (375494)
Huna hata aibu kuzungumzia Umeme kama Luxury katika ulimwengu huu wa .com
Umetumwa! Kibaraka mkubwa we. Mwingulu ''Savimbi'' Gaidi mkubwa. Wewe ndiyo Rich mond usiyekuwa na uchungu wa Watz.Usituletee hoja ya kutupumbaza hapa Janvini kafe mbele huko na maunafiki yako ya kizandiki
Shamba! lenye ukubwa wa Hekari 11 Linauzwa sh 30M Kibaha Madafu km 7 kutoka Barabara ya Morogoro.lina miti ya mikorosho michache halija pimwa. Ukiwa INTERESTED Usisite kuni PM Au kunipigia kupitia namba 0784/0657 (375494
Nchi iuzwe mara ngapi ?hakuna sehemu iliyobaki bila kuuzwa.
Chadema wakikamata dola watakuwa na kazi ya kulipa garama kubwa kuikomboa TZ Mikononi mwa walio inunua kotoka Maccm.
Shamba! lenye ukubwa wa Hekari 11 Linauzwa sh 30M Kibaha Madafu km 7 kutoka Barabara ya Morogoro.lina miti ya mikorosho michache halija pimwa. Ukiwa INTERESTED Usisite kuni PM Au kunipigia kupitia namba 0784/0657 (375494)
Mkuu ushauri wako ni naukubali umekaa vizuri lakini ningumu kutekelezeka kwani ni HERI NGAMIA KUPENYA KATIKA TUNDU LA SINDANO KULIKO USHAURI WAKO KUTEKELEZWA NA JK.
Ondoa upuuzi wako hapa jamvini.CCM haina wabunge 280 wala CHADEMA haina wabunge 46 na kama hujui idadi ya wabunge watokanao na vyama vyao go to hell.
Mtu mmoja ana uwezo wa kuibadilisha dunia je chadema wako wangapi? no research no right to speak
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.