Hi all
Am John Toss, a holder of Bachelor degree-Accounting.
Strong in ERP software (SAP and ORACLE 6i), Quick book, Focus, Peachtree and Wings Ex.
Having over 3 years of Experience in the field of Accounts, Finance, Auditing, Management and Marketing.
Now looking to start a new challenging...
Habari za wakati wana JF,ninatafuta kazi ya kuniwezesha kuishi mjini,nina shahada ya ukaguzi na uhasibu nimehitimu mwaka huu,nipo tayali kufanya kazi dar es Salaam na mikoani,Ila kwa sasa naishi Dar es Salaam.Atakayekuwa tayali kufanya kazi na mim tuwasiliane kwa email josephtoss84@yahoo.com.
MUUNDO WA MADARAJA
MUUNDO WA ZAMANI
MUUNDO MPYA
MAELEZO
POINTI
DARAJA
POINTI
DARAJA
7-17
1
7-17
I
Kundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana
18-21
II
18-24
II
Kundi la ufaulu mzuri sana
22-25
III
25-31
III
Kundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33
IV
32-47...
Angalia hapa
MATUKIO-MICHUZI: TAARIFA MAALUM KWA UMMA KUTOKA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI:UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU
Ni kweli kabisa, vyuoni watu wanagegedana aheri uswahilini,kali kuliko yote ni pale binti wa chuo anakuwa na boyfriend wanaishi kama mke na mme lakin sio waaminifu na hapo ndo balaa AIDS nje nje kutokana na kuaminiana baina yao na hawakumbuki hata hiyo kondom.
Hii ni michezo inayochezwa kila mahari mtu anaamua kujitoa kafara kwa niaba ya kusafisha kundi fulan kwa makubaliano maalumu, kwa akili ya kawaida ni vigumu kugundua haya.
Kete ambayo watakosea chadema ni maamuzi ya kuwafukuza uanachama zzk na kitila baada ya siku 14 kuisha hapo ndo ile ndoto ikulu 2015 waisahau.Wapo vijana wengi wamependa siasa kwa kufuata watu fulani fulani ndan ya chadema.Mfano mwenyewe huwa napenda kuwasikia watu kama Tundu Lisu,ZZK na Mnyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.