Njia ya muongo ni fupi. Hayo mabasi ya shabiby sikuhizi hayana mvuto kwa watu nauli bei juu huduma mbovu hata kamaji tu njiani hawakupi wamekuja wanaojua kuongeza thamani kwenye biashara naona wanaaanza kutapatapa
Yaaani Zito ni muongo sijapata ona, hivi hujui kwamba mh. Rais ni mpenzi wa Mungu!? Na mpenzi wa Mungu hadanganyi hivyo Naona ni bora Zitto akamatwe ashtakiwe kwa uchochezi.sasa hivi maisha mazuri tu,tunaheshimiana mtaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.