@ nyumba ya kifahari inapangishwa inapatikana maeneo ya kibamba gogoni karibu na kwa mzee kawawa.
@ ina vyumba vinne(4) vya kulala na ikiwemo master bed room mojana choo na bafu ndani.
Maji ya bomba na tank la lita 1000.
Kwa mwezi ni laki tatu(300,000).
NOTE: HAINA DALALI
Kwa mawasiliano piga...
haina accident na kutumia mafuta lita 45 mpaka arusha nina uhakika kwa kuwa nimeshasafiria mimi na kwenda chalinze na kurudi ni lita 15 kwa kuwa ninamradi wa kuku wa kienyeji huwa nawafata chalinze kila j5 pale sokoni
toyota surf
2l diesel engine type
manual gear 4wd
dar to chalinze lt 7
dar to arusha lt 45
vibali vyote inavyo haidaiwi
inauzwa millioni 6
kwa mawasiliano piga namba
0714198500
0712419419​
Kuuza k2 kwa bei rahisi cyo lazima Kiwe cha wizi au kibovu.na kama ni mbovu m2 c unaacha maana hulazimishwi unaruhusiwa kuja na fundi wako na details zote za gari zipo utaenda popote kuhakiki kama ya wizi au la msiwe na mawazo mabovu kila wakati NI MAMBO YA MAISHA TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.