.........anaacha kumshangaa ROSE KAMILI anamshanga KINANA ......nasi tutamshangaa 2015...mwanamume mzima unakaa kushangaa wanaume wenzako alafu bado utasikia ni dr.......ukisoma cv ndiyo utajua ni zile zile phd za Kipaimara....nyambafu...
...ANYWE KAHAWA, ACHEZE BAO LAKINI UBUNGO HAKUNA MAJI MWAKA 2015....... ATAJINYA.......ATAJIBEBA......,we piga kahawa,piga bao piga porojo, we shall remember you in october....
..........Yote haya atasemwa lakini ukitafuta a Real story, huwezi kuelezea mafanikio ya UDOM bila kumtaja Profesa Mlacha, ana shule ya Sekondari sawa, lakini ungetegemea mtu ambaye ni profesa ashindwe kuwa na shule ya kusaidia wanafunzi wa tanzania au kwa vile tumezoea ma-profesa wetu kusinzia...
.....kazi ya kichwa sio kufuga nywele tu.............tangazeni jamuhuri ya watu wa arusha halafu nasari awe raisi wenu na lema awe waziri mkuu muone mtakavyoendelea......hahahahaha......
............kama imefikia sehemu mwanaume hafanyi maamuzi mpaka amuombe mwanaume mwenzake, basi ujue tunaelekea kubaya.............tanzania inasumbuliwa na akili za wafu.............mizimu ya kishetani....
...Ndiyo yale yale ya Ndalichako kumpa mtu maksi asiyesitahili kisa kasomeshwa na Padri....haki ya mungu hii nchi hii tusipoangalia Kardinali Pengo atahamia Ikulu...........Tanzania tuwe macho tulaani vitendo vya NECTA kuwapa maksi wasio sitahili kisha kila mwaka tunasomewa wanaoongoza ni St...
*........ukoloni kitu kibaya kweli kama tumefikia sehemu tunaamini weledi wa mtu ni kujua kingereza basi kuna tatizo..........
kuna mjerumani alimsikia mtanzania akiongea kingereza kizuri cha UK akamuuliza hivi wewe ni m-uk mtanzania akajibu hapana mimi ni mtanzania basi yule m-german akacheka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.